Bodi ya Ligi kufungia makocha kunainua soka letu?

Bodi ya Ligi kufungia makocha kunainua soka letu?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kocha ni kama mzazi na mlezi wa wachezaji wake, wachezaji wanamtegemea kocha na nahodha wao wanapokuwa viwanjani.

Haiwezekani makocha wakae kimyaa kabisa kwa waamuzi wasiofanya haki kwa wachezaji na timu yake. Binadamu hayuko hivyo, kuna wakati anaweza kusema kitu bila kukusudia kutokana na ubaya, uzuri au ukubwa au hatari ya tukio.

Kuwanyamazisha makocha ni dalili mbaya sana kwa soka letu, maana hii itatoa mwanya kwa timu kununua mechi kupitia kwa waamuzi au waamuzi kuamua kwa kusukumwa na mahaba Yao kwa timu husika.

Kwanini timu zinazolalamikiwa ni zilezile za Simba na Yanga TU? Kwanini kadi nyekundu zinazinufaisha Simba na Yanga zaidi kuliko timu nyingine? Mfano, Simba ushindi wake msimu huu ulitegemea timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Yanga ilipata goli dhidi ya ruvu kwa mchezaji kupewa kadi nyekundu ya utata. Mwamuzi anapewa ushauri na mchezaji mnufaika na aina ya adhabu kuhusu aina ya kadi ya kumpa mchezaji wa timu pinzani.

Hivi ni kweli kocha asipanue mdomo kunung'unikia mwamuzi mkora kiasi hicho? Kwani iwepo hata TV moja uwanjani ya kuisaidia replay na slow motion ya tukio lenye utata kiwanjani?
 
"Simba ushindi wake msimu huu ulitegemea timu pinzani kupewa kadi nyekundu"

Mkuu mpira hua unasikiliza TBC taifa au unaangalia Azam Tv?
 
Kocha ni kama mzazi na mlezi wa wachezaji wake, wachezaji wanamtegemea kocha na nahodha wao wanapokuwa viwanjani.

Haiwezekani makocha wakae kimyaa kabisa kwa waamuzi wasiofanya haki kwa wachezaji na timu yake. Binadamu hayuko hivyo, kuna wakati anaweza kusema kitu bila kukusudia kutokana na ubaya, uzuri au ukubwa au hatari ya tukio.

Kuwanyamazisha makocha ni dalili mbaya sana kwa soka letu, maana hii itatoa mwanya kwa timu kununua mechi kupitia kwa waamuzi au waamuzi kuamua kwa kusukumwa na mahaba Yao kwa timu husika.

Kwanini timu zinazolalamikiwa ni zilezile za Simba na Yanga TU? Kwanini kadi nyekundu zinazinufaisha Simba na Yanga zaidi kuliko timu nyingine? Mfano, Simba ushindi wake msimu huu ulitegemea timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Yanga ilipata goli dhidi ya ruvu kwa mchezaji kupewa kadi nyekundu ya utata. Mwamuzi anapewa ushauri na mchezaji mnufaika na aina ya adhabu kuhusu aina ya kadi ya kumpa mchezaji wa timu pinzani.

Hivi ni kweli kocha asipanue mdomo kunung'unikia mwamuzi mkora kiasi hicho? Kwani iwepo hata TV moja uwanjani ya kuisaidia replay na slow motion ya tukio lenye utata kiwanjani?
Ni ukosefu wa nidhamu kwani kanuni inawabana kutotoa shutuma kwa waamuzi in public,wangepeleka malamiko yao kwa maandishi. Kanuni hiyo wanaijua na adhabu ya ukiukwaji kanuni hiyo iko wazi hivyo walifanya hivyo wakijua kuwa wataadhibiwa. Wakome kuropoka.
 
Mechi Tano TU red cards 4, huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine TU mitaani. Hata timu kubwa na ndogo zipo Ulaya, lakini sio kwa kubeba huku
Hapa umezingua ulianza vizuri kumbe topolo
 
Mechi Tano TU red cards 4, huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine TU mitaani. Hata timu kubwa na ndogo zipo Ulaya, lakini sio kwa kubeba huku
Eleza Redcar hata moja tu ambayo haikuwa sahihi. Hata hizo nne ni chache kwa aina ya fujo wanazofanyiwa wachezaji wa Simba. Watu wameahidiwa mamilioni ili kuwaumiza wachezaji wa Simba.
 
Kocha ni kama mzazi na mlezi wa wachezaji wake, wachezaji wanamtegemea kocha na nahodha wao wanapokuwa viwanjani.

Haiwezekani makocha wakae kimyaa kabisa kwa waamuzi wasiofanya haki kwa wachezaji na timu yake. Binadamu hayuko hivyo, kuna wakati anaweza kusema kitu bila kukusudia kutokana na ubaya, uzuri au ukubwa au hatari ya tukio.

Kuwanyamazisha makocha ni dalili mbaya sana kwa soka letu, maana hii itatoa mwanya kwa timu kununua mechi kupitia kwa waamuzi au waamuzi kuamua kwa kusukumwa na mahaba Yao kwa timu husika.

Kwanini timu zinazolalamikiwa ni zilezile za Simba na Yanga TU? Kwanini kadi nyekundu zinazinufaisha Simba na Yanga zaidi kuliko timu nyingine? Mfano, Simba ushindi wake msimu huu ulitegemea timu pinzani kupewa kadi nyekundu. Yanga ilipata goli dhidi ya ruvu kwa mchezaji kupewa kadi nyekundu ya utata. Mwamuzi anapewa ushauri na mchezaji mnufaika na aina ya adhabu kuhusu aina ya kadi ya kumpa mchezaji wa timu pinzani.

Hivi ni kweli kocha asipanue mdomo kunung'unikia mwamuzi mkora kiasi hicho? Kwani iwepo hata TV moja uwanjani ya kuisaidia replay na slow motion ya tukio lenye utata kiwanjani?
Wewe jenga hoja kuitetea Simba acha kujificha kwenye kivuli cha ukosoaji wa kinafiki.
1.Kadi gani dhidi ya wapinzani wa Simba haikuwa halali?
2.Ulitaka refa atoe kadi gani kwa beki wa Ruvu aliyecheza faulo ya makusudi kumzuia mchezaji kwenda kufunga. Akijua kila kitu akajilaza kujifanya ameunia na alipooneshwa kadi nyekundu akapona ghafla?

Ningekuona una la maana kama ungeongelea faulo ya kiwiko cha Morison, lakini hayo mengine unajichoresha tu.
 
Eleza Redcar hata moja tu ambayo haikuwa sahihi. Hata hizo nne ni chache kwa aina ya fujo wanazofanyiwa wachezaji wa Simba. Watu wameahidiwa mamilioni ili kuwaumiza wachezaji wa Simba.
Hii hoja ya jikoni.
 
Mechi Tano TU red cards 4, huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine TU mitaani. Hata timu kubwa na ndogo zipo Ulaya, lakini sio kwa kubeba huku
Mpira wa kupigana mateke kama shaolin soccer unadhani wanaonewa tatzo itakua huangalii mpira au una jificha kwenye unazi wa utopinyo
 
Tena
Wewe jenga hoja kuitetea Simba acha kujificha kwenye kivuli cha ukosoaji wa kinafiki.
1.Kadi gani dhidi ya wapinzani wa Simba haikuwa halali?
2.Ulitaka refa atoe kadi gani kwa beki wa Ruvu aliyecheza faulo ya makusudi kumzuia mchezaji kwenda kufunga. Akijua kila kitu akajilaza kujifanya ameunia na alipooneshwa kadi nyekundu akapona ghafla?

Ningekuona una la maana kama ungeongelea faulo ya kiwiko cha Morison, lakini hayo mengine unajichoresha tu.
Ilibifi ziwe 2 kila timu maana sio mateke yale
 
Eleza Redcar hata moja tu ambayo haikuwa sahihi. Hata hizo nne ni chache kwa aina ya fujo wanazofanyiwa wachezaji wa Simba. Watu wameahidiwa mamilioni ili kuwaumiza wachezaji wa Simba.
Hiyo sio kweli mkuu, mchawi hapo ni hela za Azam alizomiminia vilabu. Hawana njaa ya uchi wa mnyama. Maana Kuna watu walikuwa wakiutumia ukata wa timu kwa manufaa yao.
 
Kumfungia kocha kisa amelalamikia maamuzi mabovu haisaidii kitu! Hii inawafanya marefa wachezeshe vibaya walikua hakuna wa kuwagusa. Nadhani adhabu ya mechi Moja na adhabu ingetosha. Mechu tatu ni kuiumiza timu tu
 
Kumfungia kocha kisa amelalamikia maamuzi mabovu haisaidii kitu! Hii inawafanya marefa wachezeshe vibaya walikua hakuna wa kuwagusa. Nadhani adhabu ya mechi Moja na adhabu ingetosha. Mechu tatu ni kuiumiza timu tu
Mechi tatu unamuadhibu kocha, wachezaji, mashabiki au mwenye timu? Ni uhuni!!!
 
Mpira wa kupigana mateke kama shaolin soccer unadhani wanaonewa tatzo itakua huangalii mpira au una jificha kwenye unazi wa utopinyo
Mbona Boko na Morrison wanacheza mifaulo kibao hatuoni wakipewa kadi? Mkikaziwa kidogo mnasema mnakamiwa, jikazeni! Mbebwe msibebwe msimu huu hamna chenu!
 
Mbona Boko na Morrison wanacheza mifaulo kibao hatuoni wakipewa kadi? Mkikaziwa kidogo mnasema mnakamiwa, jikazeni! Mbebwe msibebwe msimu huu hamna chenu!
Marrison kacheza faulo ipi ambayo utaifananusha na hao waliopigwa nyekundy acha uongo bwana heeeeh heeeh
 
Kwa maelezo haya ndio maana kimataifa hua tunapata kadi mechi za kimataifa
 
Back
Top Bottom