Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Yatangaza Viingilio kuelekea Kariakoo Derby

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Yatangaza Viingilio kuelekea Kariakoo Derby

Joseverest

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
52,812
Reaction score
71,392
Kuelekea mchezo mkubwa wa Watani wa jadi (Kariakoo Derby) kati ya Yanga na Simba, bodi ya ligi imetangaza viingilio katika mchezo huo utakaochezwa 20/04/2024 katika dimba la Taifa Benjamini Mkapa

Majukwaa na bei zake

VIP A - TSH 50,000

VIP B - TSH 30,000

VIP C - TSH 20,000

VITI VYA RANGI YA MACHUNGWA - TSH 10,000

MZUNGUKO - TSH 5,000

Bodi ya ligi inasisitiza watu kununua tiketi mapema kuepuka usumbufu kwenye mchezo huo muhimu wa Ligi Kuu

NB: Yanga atakuwa mwenyeji wa mchezo huo wakati Simba akiwa ni Mgeni

20240414_184005.jpg
 
Mimi ni kolozdadi.

Kuna hati hati siku ya mechi nisitokee kuepuka aibu.
 
Mashabiki wa simba siku hiyo ya mechi mjitahidi kwenda na miili yenu tu uwanjani. Mioyo yenu iacheni nyumbani. Maana masuala ya kuzimia hovyo uwanjani, siyo poa hata kidogo.
 
Back
Top Bottom