Bodi ya Ligi Kuu yatoa onyo kali kwa Haji Manara, Bumbuli, ni kuhusu waamuzi kuongeza dakika

Bodi ya Ligi Kuu yatoa onyo kali kwa Haji Manara, Bumbuli, ni kuhusu waamuzi kuongeza dakika

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Bodi ya Ligi Kuu yatoa onyo kali kwa Haji Manara, Bumbuli, ni kuhusu waamuzi kuongeza dakika

Yanga.jpg


Onyoo.jpg
 
Bodi ya ligi yenyewe inaongozwa na vilaza tu. Wanatoa onyo kwa kosa gani? Kama wangekuwa na makosa, imekuwaje sasa wamejikosha tena kuwafungia hao waamuzi wao wa michongo?
 
Hao ' Machale Championi ' Wangewafungia tu....Wala Kusingekuwa na Shida! Hata Nugaz angeitwa Kuwashikia Kwa Muda.
 
Bodi ya ligi yenyewe inaongozwa na vilaza tu. Wanatia onyo kwa kosa gani? Kama wangekuwa na makosa, imekuwaje sasa wamejikosha tena kuwafungia hao waamuzi wao wa michongo?
Tusitetee ujinga, kuhusu suala la muda wa nyongeza Bumbuli alipuyanga na hakuonyesha weledi kabisa,kulinganisha dakika za nyongeza kwa timu za Simba na Yanga ni ujinga kwani kigezo cha muda wa nyongeza ni matukio yanayotokea kupelekea mchezo kusimama,hivyo huwezi kutoa jumuisho Kwa matukio yasiyofanana wala kulingana. Na pia hizo dakika za nyongeza alicheza Simba peke yake na timu pinzanani ilikuwa imekaa chini? Hoja zao nyingine kiasi zilikuwa na mashiko lakini hili la muda wa nyongeza ni ujinga tu.
 
Back
Top Bottom