Bodi ya Ligi mnatengeneza mazingira Simba kuchukua ubingwa, Kwanini mechi iahirishwe na wengine wafululize michezo licha ya ugumu wa ratiba?

Bodi ya Ligi mnatengeneza mazingira Simba kuchukua ubingwa, Kwanini mechi iahirishwe na wengine wafululize michezo licha ya ugumu wa ratiba?

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Inasikitisha sana kuona bodi ya Ligi inakosa uweledi kiasi hiki, Yanga imecheza michezo yake minne mfululizo bila kupumzika, tena ikisafiri hapa na pale,

Pamoja na ugumu wote huo bado haikupatiwa uwanja wa Mkapa kama uwanja wa nyumbani, wala haukusikia mchezo umeahirishwa au kusogezwa mbele pamoja na ugumu huo wa ratiba.

Leo unasikia bila sababu yoyote ya msingi eti mchezo umeahirishwa! wakati huo kuna timu bado zina viporo! hii bodi inapaswa kujitafakari.

#DaimaMbele #NyumaMwiko
 
3F5A8ADF-D809-4144-851B-45AD643BAF8B.jpeg
 
Inasikitisha sana kuona boodi ya Ligi inakosa uweledi kiasi hiki, Yanga imecheza michezo yake minne mfululizo bila kupumzika, tena ikisafiri hapa na pale, Pamoja na ugumu wote huo bado haikupatiwa uwanja wa Mkapa kama uwanja wa nyumbani, wala haukusikia mchezo umeahirishwa au kusogezwa mbele pamoja na ugumu huo wa ratiba. Leo unasikia bila sababu yoyote ya msingi eti mchezo umeahirishwa! wakati huo kuna timu bado zina viporo! hii bodi inapaswa kujitafakari.

#DaimaMbele #NyumaMwiko
Mmepigwa kimoja cha nguruwe mmeanza kupata kichefuchefu na kutapika. Hii ni ligi aliewaambia "Yanga hii mtaifungaje amewadanganya". Mkae kwa kutulia. Njia rahisi ya kuwa bingwa ni kushinda mechi zako zote.
 
Mmepigwa kimoja cha nguruwe mmeanza kupata kichefuchefu na kutapika. Hii ni ligi aliewaambia "Yanga hii mtaifungaje amewadanganya". Mkae kwa kutulia. Njia rahisi ya kuwa bingwa ni kushinda mechi zako zote.
Ujuha ni kumcheka mwenzako wakati wewe umekalia 5,1,1,1.... na upo shirikisho huko
F-LrFAoWgAAcuOt.jpg
 
Mmepigwa kimoja cha nguruwe mmeanza kupata kichefuchefu na kutapika. Hii ni ligi aliewaambia "Yanga hii mtaifungaje amewadanganya". Mkae kwa kutulia. Njia rahisi ya kuwa bingwa ni kushinda mechi zako zote.
Nyie mmeshinda mechi zenu zote?
 
Mmepigwa Kimoko tu mmeanza kupagawa.

Mchezo umesogezwa mbele kwa Siku Moja kwasababu uwanja wa Kmc una matumizi wa mchezo wa Ligi kuu ya Wanawake


Nyie si ndo mlijinasibu kua Uwanja wa Azam ni uwanja wenu leo hii mmeanza kulialia, mngepeleka Mchezo Zanzibar safari hii kimewashinda nini kujipendekeza kupeleka huko Zanzibar
 
Mmepigwa kimoja cha nguruwe mmeanza kupata kichefuchefu na kutapika. Hii ni ligi aliewaambia "Yanga hii mtaifungaje amewadanganya". Mkae kwa kutulia. Njia rahisi ya kuwa bingwa ni kushinda mechi zako zote.
Yaani unamshauri anayeongoza ligi badala ya kumshauri anayeshika nafasi ya tatu
IMG_20241105_074741.jpg
 
Kama ninkweli bodi ya Ligi mwishowe wataishia ku dhalilika, hakuna namna Simba ita chukua Ubingwa mbele ya Yanga iliyopo.

Ata Yanga isipo Fanya usajili wowote dilisha dogo na Simba ikaongeza wachezaji Bado Yanga ata twaa Ubingwa.
Mechi ya Yanga na Azam ambayo Yanga ilipoteza , Imeonyesha Kuna Daraja kubwa Sana alipo Yanga na timu zinazo shindania Ubingwa.

Kwa ujumla Yanga Bingwa.
 
Mmepigwa Kimoko tu mmeanza kupagawa.

Mchezo umesogezwa mbele kwa Siku Moja kwasababu uwanja wa Kmc una matumizi wa mchezo wa Ligi kuu ya Wanawake


Nyie si ndo mlijinasibu kua Uwanja wa Azam ni uwanja wenu leo hii mmeanza kulialia, mngepeleka Mchezo Zanzibar safari hii kimewashinda nini kujipendekeza kupeleka huko Zanzibar
kwamba Dar yote hakuna kiwanja kingine mbadala? mbona wanaume Yanga walinyimwa uwanja wa Mkapa ila wakapambana kiume?
 
Mmepigwa kimoja cha nguruwe mmeanza kupata kichefuchefu na kutapika. Hii ni ligi aliewaambia "Yanga hii mtaifungaje amewadanganya". Mkae kwa kutulia. Njia rahisi ya kuwa bingwa ni kushinda mechi zako zote.
kmmke 😁
 
Yanga kaliwa.

Yanga kapakatwa.

Yanga kalambishwa lolo.

Yanga kachumishwa mchicha.

Yanga kakaangwa.

Yanga kabanduliwa.

Yanga kasokomezewa gogo.

Yanga kapakuliwa.

Yanga katolewa bikra.

Yanga kabikiriwa.

Yanga kashikishwa gitaa la dali kimoko.

Yanga kapelekewa pumzi ya moto.

Yanga kakanyagwa.

Silaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..!!!
 
Hapo bado hamjasema , mpaka mseme.

Mwaka huu kila tundu lililopo kwenye mwili wa amfibia lazima litowe harufu ya ushuzi.
 
Inasikitisha sana kuona boodi ya Ligi inakosa uweledi kiasi hiki, Yanga imecheza michezo yake minne mfululizo bila kupumzika, tena ikisafiri hapa na pale, Pamoja na ugumu wote huo bado haikupatiwa uwanja wa Mkapa kama uwanja wa nyumbani, wala haukusikia mchezo umeahirishwa au kusogezwa mbele pamoja na ugumu huo wa ratiba. Leo unasikia bila sababu yoyote ya msingi eti mchezo umeahirishwa! wakati huo kuna timu bado zina viporo! hii bodi inapaswa kujitafakari.

#DaimaMbele #NyumaMwiko


Lawama zishaanza...!

Itafikia Mahala mtu Ukionyesha Meno tu Utaambiwa unaicheka Utopolo.!
 
Bado hamjasema...[emoji23][emoji23][emoji23] Dj ongeza volume
 
Kama ninkweli bodi ya Ligi mwishowe wataishia ku dhalilika, hakuna namna Simba ita chukua Ubingwa mbele ya Yanga iliyopo.

Ata Yanga isipo Fanya usajili wowote dilisha dogo na Simba ikaongeza wachezaji Bado Yanga ata twaa Ubingwa.
Mechi ya Yanga na Azam ambayo Yanga ilipoteza , Imeonyesha Kuna Daraja kubwa Sana alipo Yanga na timu zinazo shindania Ubingwa.

Kwa ujumla Yanga Bingwa.
Alisikika shabiki mlevi wa utopolo akiropoka..bado hamjasema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom