Bodi ya Ligi Tanzania Tovuti yenu imelala. Why?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Yaani unaingia utafute taarifa current unakutana na last updated Machi 2022. Seriously!? Badilikeni mnatutia aibu kama taifa, ligi ya Tanzania unakosaje taarifa kwenye tovuti yenu.Imagine hapo kwenye screen shot ndo inasomeka hivyo leo Juni 16 2022!!! Duh !! Mnachekesha sana. Mihela yote ile mmeshindwa kuajiri kijana awe anafanya updates!
 
Taarifa Yanga ndio bingwa, au ulitegemea kwenye wavuti kunaweza kubadili matokeo? Maana aliyewaroga mbumbumbu Fc kafa.
 
Unapotezaje muda wako kuingia huko mkuu?
Ebu kuwa serious..hii ndiyo Bongo ambayo watu wake Bongo zimelala
 
Tanzania ni nchi ya hovyo Sana , mkuu umesema Jambo ambalo hata Mimi linanitatiza Sana ,. Ukiingia kwenye web ya EPL unakutana na live score huhangaiki kupata matokeo , bongo sasa uwiiiiiii, uko zako kitaa unaskia makelele unauliza kuna nini unaambiwa kuna game ya Yanga na mtibwa , unakimbia kuangalia matokeo Kwa ufanisi unakuta web imelala, inabd ukimbilie Instagram Kwa Millard Ayo ndo unaweza kubahatisha ...huu ni ujinga mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…