Bodi ya Ligi tunaomba Simba awe anacheza mara 2 kwa wiki ili kutuondoa kwenye upweke wa burudani

Bodi ya Ligi tunaomba Simba awe anacheza mara 2 kwa wiki ili kutuondoa kwenye upweke wa burudani

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Naiona mbali sana kesho dhidi ya Fountain Gate sijuwi golini atakaa nani, mbavu za kulia na kushoto atakuwa nani, mabeki kesho ni nani, nani atacheza na Che Malone baina ya Chamou na Hamza, je kesho viungo ni nani, Ngoma au Kagoma au Okajepha, pembeni kesho yuko nani, Balua na Chasambi au Kibu Dennis na Omary Omary, mido ya juu najua kama Fernandez, mtu makini sana huyu.

Striker nani kesho je Mukwala ataanza au atamsubiri Ateba, yeyote kesho anaweza kuondoka na mpira.

Kiungo mshambuliaji kesho nani katika burudani hiyo, Je ni Jeans Charles Ahoua au Awesu Awesu, kama kocha ataanza na inside ten Awesu Awesu kesho huna sababu ya kunywa bia, bia ziko dimbani pale Mwenge uwanja wa KMC.

Fountaif Gate nawaonea huruma, wakija vibaya mamangu mzazi anakula mkono kesho.

Mapemaaaaaa niko dimbani kesho, bodi ya ligi tafadhalini mechi moja kwa wiki kwa Simba hii ni huzuni jamani, mafundi hawa kesho watapiga pasi nyingi sana.
 
Naiona mbali sana kesho dhidi ya Fountain Gate sijuwi golini atakaa nani, mbavu za kulia na kushoto atakuwa nani, mabeki kesho ni nani, nani atacheza na Che Malone baina ya Chamou na Hamza, je kesho viungo ni nani, Ngoma au Kagoma au Okajepha, pembeni kesho yuko nani, Balua na Chasambi au Kibu Dennis na Omary Omary, mido ya juu najua kama Fernandez, mtu makini sana huyu.

Striker nani kesho je Mukwala ataanza au atamsubiri Ateba, yeyote kesho anaweza kuondoka na mpira.

Kiungo mshambuliaji kesho nani katika burudani hiyo, Je ni Jeans Charles Ahoua au Awesu Awesu, kama kocha ataanza na inside ten Awesu Awesu kesho huna sababu ya kunywa bia, bia ziko dimbani pale Mwenge uwanja wa KMC.

Fountaif Gate nawaonea huruma, wakija vibaya mamangu mzazi anakula mkono kesho.

Mapemaaaaaa niko dimbani kesho, bodi ya ligi tafadhalini mechi moja kwa wiki kwa Simba hii ni huzuni jamani, mafundi hawa kesho watapiga pasi nyingi sana.
Simba ni kikundi cha wahuni tu waliokusanyana, hamna timu pale.
 
Naiona mbali sana kesho dhidi ya Fountain Gate sijuwi golini atakaa nani, mbavu za kulia na kushoto atakuwa nani, mabeki kesho ni nani, nani atacheza na Che Malone baina ya Chamou na Hamza, je kesho viungo ni nani, Ngoma au Kagoma au Okajepha, pembeni kesho yuko nani, Balua na Chasambi au Kibu Dennis na Omary Omary, mido ya juu najua kama Fernandez, mtu makini sana huyu.

Striker nani kesho je Mukwala ataanza au atamsubiri Ateba, yeyote kesho anaweza kuondoka na mpira.

Kiungo mshambuliaji kesho nani katika burudani hiyo, Je ni Jeans Charles Ahoua au Awesu Awesu, kama kocha ataanza na inside ten Awesu Awesu kesho huna sababu ya kunywa bia, bia ziko dimbani pale Mwenge uwanja wa KMC.

Fountaif Gate nawaonea huruma, wakija vibaya mamangu mzazi anakula mkono kesho.

Mapemaaaaaa niko dimbani kesho, bodi ya ligi tafadhalini mechi moja kwa wiki kwa Simba hii ni huzuni jamani, mafundi hawa kesho watapiga pasi nyingi sana.
Ili waendelee kukaa kileleni
 
Kushinda mechi moja tu tayari simba bingwa!! Kweli bora uto kwetu kuna watatu wenye akili, simba ni Rage peke yake!!

Sisi uto tuko bize kimataifa ila tunajua tuna points zetu 6 pale mbumbumbu street na hizi mbwembwe zote zitageuka lawama na mayowe kwa Mangungo na kudaiwa aoneshe muunganiko ambao uko njiani kuja kolokoloni kutokea South Africa kwa Fadlu!!!
 
Team ya kuifunga 5+nyie mnafunga 3 kama hamjui ni magoli ndio yamewapeleka shirikisho endeleeni kutaja majina ya wachezaji
 
Back
Top Bottom