Mtendaji mkuu wa bodi ya ligi ;
"Ligi yetu imesimama kwasababu ya ratiba ya awali iliyotolewa na CAF ,kwani kati ya tarehe 22 -25 kulikuwa na ratiba ya michuano ya CAN ,Bahati mbaya CAF wamekosa mwenyeji wa kuhost Fainali za CAN mpaka sasa hivyo mechi za kufuzu hazijachezwa."
"Pia CAF hawajatupa mrejesho rasmi wa lini mashindano yataendelea hivyo sisi Kama Bodi ya ligi kuanzia leo tutakuwa na kazi kubwa ya kuweka sawa ratiba ili kuziba nafasi zilizo wazi."
NB: Mbona ligi zingine zinaendelea ! au wao hawakupewa ratiba hiyo ya CAN ? [emoji42]