Rais Samia aliwahi kuelekeza mamlaka zinazohusika kurejesha Bodi ya Mishahara na maslahi katika utumishi wa umma iliyoanzishwa na Rais wa awamu ya nne na kisha kuvunjwa kipindi cha awamu ya tano.
Kutokuwepo kwa bodi hii hadi sasa na kuhamishia masuala ya maslahi idara kuu ya utumishi imeleta mgongano wa kimajukumu na kimaslahi.
Jukumu la kushughulikia maslahi ni zito linahitaji chombo maalum kinachoangazia jukumu hilo pekee na kufuatilia tija na mwenendo wa uchumi kwa kufanya tafiti.
Nchi zilizoko SADC na EAC nyingi zina chombo hiki ila sisi tulikiondoa kwa kisingizio cha duplication of functions.
Nadhani ni muhimu kuangalia upya namna ya kuirejesha Bodi hii hata kama itaitwa Tume ya Mishahara kam nchi nyingine.
Rais alikwishaelekeza kifufuliwe kwa busara zake. Itekelezwe.
Kutokuwepo kwa bodi hii hadi sasa na kuhamishia masuala ya maslahi idara kuu ya utumishi imeleta mgongano wa kimajukumu na kimaslahi.
Jukumu la kushughulikia maslahi ni zito linahitaji chombo maalum kinachoangazia jukumu hilo pekee na kufuatilia tija na mwenendo wa uchumi kwa kufanya tafiti.
Nchi zilizoko SADC na EAC nyingi zina chombo hiki ila sisi tulikiondoa kwa kisingizio cha duplication of functions.
Nadhani ni muhimu kuangalia upya namna ya kuirejesha Bodi hii hata kama itaitwa Tume ya Mishahara kam nchi nyingine.
Rais alikwishaelekeza kifufuliwe kwa busara zake. Itekelezwe.