Bodi ya mikopo elimu ya juu, HESLB badirisheni utaratibu, endeleeni kutoa mikopo kwa wahitimu wa chuo mwaka mmoja zaidi baada ya kuhitimu.

Bodi ya mikopo elimu ya juu, HESLB badirisheni utaratibu, endeleeni kutoa mikopo kwa wahitimu wa chuo mwaka mmoja zaidi baada ya kuhitimu.

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Hili siyo mara yangu ya kwanza kushauri, utaratibu huu utawawezesha vijana kujiongeza zaidi. Kwa Sasa maisha ya mtaani ni magumu sana tofauti na kipindi kile graduate anamaliza chuo na kupangiwa post. Ni ngumu kijana wa Leo kumpatian pesa miaka 3 ama 4 ama 5 then akihitimu anaondoka bila kitu.

Utaratibu huu utasaidia kuondoa wategemezi kwenye familia, kuwapa fursa vijana za kubunu biashara ndogondogo za kuwaajiri wao na vijana wengine lakini pia kuwaandaa kikamilifu na maisha ya mtaani.

Kwa Sasa hali ilivyo vijana wengine wanashindwa kukopi na maisha kulingana na mtindo waliokuwa wameuzoea kipindi wanasoma.

Fikiria kijana anahitimu chuo anarudi home kuanzia upya kabisa maisha ya upambanaji huku akiwa Hana Kila kitu. Serikali kupitia HESLB endeleeni kuwapatia pesa ya kilujikimu vijana Hawa ili wajiongeze pindi wanapomaliza chuo.
 
Hili siyo mara yangu ya kwanza kushauri, utaratibu huu utawawezesha vijana kujiongeza zaidi. Kwa Sasa maisha ya mtaani ni magumu sana tofauti na kipindi kile graduate anamaliza chuo na kupangiwa post. Ni ngumu kijana wa Leo kumpatian pesa miaka 3 ama 4 ama 5 then akihitimu anaondoka bila kitu. Utaratibu huu utasaidia kuondoa wategemezi kwenye familia, kuwapa fursa vijana za kubunu biashara ndogondogo za kuwaajiri wao na vijana wengine lakini pia kuwaandaa kikamilifu na maisha ya mtaani. Kwa Sasa hali ilivyo vijana wengine wanashindwa kukopi na maisha kulingana na mtindo waliokuwa wameuzoea kipindi wanasoma. Fikiria kijana anahitimu chuo anarudi home kuanzia upya kabisa maisha ya upambanaji huku akiwa Hana Kila kitu. Serikali kupitia HESLB endeleeni kuwapatia pesa ya kilujikimu vijana Hawa ili wajiongeze pindi wanapomaliza chuo.
Mmmmm hapo tu ushukuru sana Mungu......njoo mtaani upambane vya bure huku mtaani hakuna la sivyo utaharibikiwa njoo upambaneeee
 
Mmmmm hapo tu ushukuru sana Mungu......njoo mtaani upambane vya bure huku mtaani hakuna la sivyo utaharibikiwa njoo upambaneeee
Mimi Nishamaliza chuo miaka zaidi ya 7 sasa
 
Mkopo kwaajiri ya biashara au pesa za kujikimu?

wajiunge kikundi waende kukopa ktk halmashauri au manispaa pesa zipo tele mwaka wa uchaguzi huu na ujao
 
Huko kwenye halmadhauri kuna mikopo kwa vijana au hujui
 
Mkopo kwaajiri ya biashara au pesa za kujikimu?

wajiunge kikundi waende kukopa ktk halmashauri au manispaa pesa zipo tele mwaka wa uchaguzi huu na ujao
Hizo pesa za halimashauri ni za maccm tu mkuu
 
Back
Top Bottom