nyangelekene
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 481
- 344
Sijaelewa shida nini ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu mwezi uliopita(wa kwanza) deni lilikua milioni 3 mwezi wa pili milioni 3, watu wengi wanalalamika madeni kuongezeka wengine wanamaliza lakini mwezi unaofuata wanakuta ongezeko tena. Shida ni nini?
Hakuna taarifa yoyote wala ufafanuzi au ndo urefu wa kamba yenu umefika hadi huko?? Hivi hamjui jinsi tumesota adi kulifikisha ilo deni mwisho?? Nini kiko nyuma ya ili deni lenu?
Mnaumiza watu sana, kwani hiyo rentation fee iliyotolewa na RAIS imeondolewa au ni geresha tu?? Au kuna deni lingine tofauti na mloweka kwenye salary slip?
Semeni shida ni nini kila mwezi deni la kwenye salary slip linapanda tu na watu wakija ofisini majibu yenu hayaeleweki 'damnt'.
Hakuna taarifa yoyote wala ufafanuzi au ndo urefu wa kamba yenu umefika hadi huko?? Hivi hamjui jinsi tumesota adi kulifikisha ilo deni mwisho?? Nini kiko nyuma ya ili deni lenu?
Mnaumiza watu sana, kwani hiyo rentation fee iliyotolewa na RAIS imeondolewa au ni geresha tu?? Au kuna deni lingine tofauti na mloweka kwenye salary slip?
Semeni shida ni nini kila mwezi deni la kwenye salary slip linapanda tu na watu wakija ofisini majibu yenu hayaeleweki 'damnt'.