Hatari ya wanafunzi wa chuo kikuu kujiuza kwa awamu nyingine inanukia baada ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutojua hatima ya maisha yao, hali hii inatokana na kutojua tatizo liko wapi na kwanini kwa kuwa mpaka sasa hawajajua watasaini lini majina yao ambayo yalitakiwa kusainiwa mwanzoni mwa december. mpaka sasa wanafunzi hao wanaishi kwa madeni makubwa sana hatari ikiwa kwa akina dada ambao wanapoanza kutafuta pesa hulazimishwa kufanya ngono, lakini kwa hali inavyoonekana hata kujiuza kunanukia