Bodi ya mikopo helsb

mang'ang'a

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
828
Reaction score
379
Wadau nashindwa kuingia kwenye eneo la kujaza maombi, kuna mtu mwenye idea jinsi ya kufanya?
 
Google neno OLAS utaona fomu ya mkopo. Usisahau kutuma elfu 30 yao kwa Mpesa wakutumie code namba za kudownload hiyo fomu.
 
sasa heslb kitu muhimu kama hicho wanakosea ku design link vizuri kwenye website yao mpaka mtu uingie google..
 
naomba msaada wenu jamani , nimesha appli HESLB lakini ukimaliza ku apply kuna option ya ku print filled forms . swali langu je ni lazima ku print na kama ni lazima ukiprint hizo hard copr unazipeleka sehemu au vp?
by the way niki click hy option ya ku print naishia kuambiwa ni log in again..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…