Bodi ya mikopo HESLB Dirisha la marekebisho halina option ya kufanya marekebisho kwa walio kosea

Bodi ya mikopo HESLB Dirisha la marekebisho halina option ya kufanya marekebisho kwa walio kosea

Jumlisha

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1,239
Reaction score
2,765
Ndugu wana JF, hii changamoto nimeiona kwa watu kadhaa ambao application zao zina makosa ila hazijapewa uwezo wa ku edit na wamekiri kabisa hakuna option ya marekebisho na siku zinakimbia kufikia deadline.

Je, ni kuonesha bodi ya mkopo hawajazipitia hizo fomu za maombi au wanaangalia vipengele vipi ili kuruhusu fomu kufanyiwa marekebisho?

Hii ni kwenu HESLB.
 
ndg yangu me pia silali hapa nilipo complete final form (page8) inaonesha cheti cha kuzaliwa option ya kulekebisha pia sijapewa na sijui sababu nini siku zimebaki5. mungu atusaidiye
 
Ndugu wana jf hii changamoto nime hii iona kwa watu kadhaa ambao application zao zina makosa ila azijapewa uwezo wa ku edit na wamekiri kabisa hakuna option ya marekebisho na siku zinakimbia kufikia deadline je ni kuonesha bodi ya mkopo hawaja zipitia izo fomu za maombi au wanaangalia vipengele vipi ili kuruhusu fomu kufanyiwa marekebisho
hii ni kwenu heslb
sure kaka me pia ni miongoni mwao
 
Ni kweli mkuu na hili nilianza kuliona ata walipoongeza siku 14 za maombi, zaidi ya siku 5 za mwanzo website yao ilikuwa haifunguki kabisa
 
Ni kweli mkuu na hili nilianza kuliona ata walipoongeza siku 14 za maombi, zaidi ya siku 5 za mwanzo website yao ilikuwa haifunguki kabisa
ni tatizo kwa kweli hawa jamaa
 
ndg yangu me pia silali hapa nilipo complete final form (page8) inaonesha cheti cha kuzaliwa option ya kulekebisha pia sijapewa na sijui sababu nini siku zimebaki5. mungu atusaidiye
dah hapa tuombe Jf wasaidie kupaza sauti hawa jamaa mifumo yao bado haiko sawa
 
Ndugu wana JF, hii changamoto nimeiona kwa watu kadhaa ambao application zao zina makosa ila hazijapewa uwezo wa ku edit na wamekiri kabisa hakuna option ya marekebisho na siku zinakimbia kufikia deadline.

Je, ni kuonesha bodi ya mkopo hawajazipitia hizo fomu za maombi au wanaangalia vipengele vipi ili kuruhusu fomu kufanyiwa marekebisho?

Hii ni kwenu HESLB.
Maisha ya chuo/college yanahitaji kujipanga ili kukabiliana na changamoto, kama wahenga wanavyosema changamoto ni kipimo cha akili. Miongoni mwa changamoto hizo ni chakula na malazi/makazi/accomodation (Sio maradhi wapendwa😊).

Kwenye issue ya chakula mambo yakiwa magumu mkombozi ni mihogo, nakiheshimu sana hiki chakula.😅

Kwenye issue ya malazi/accomodation/makazi hiki ndo kipengele maridhawa..!😁

Yakupasa upate chumba cha kuishi ambacho kimetulia na hakina mambo mengi na kipo mazingira ambayo hayata disturb mambo yako ya msingi.

Kwa wanachuo wanaopenda kuishi kigamboni karibu na Ferry/Kivukoni Nicheki Whatsapp ili upate Room ya ndoto yako.

Asante.
WhatsApp:+255620523897.
#Chumba #Vyumba #Kigamboni #Ferry #Kivukoni #Pantoni #Chuo #Vyuo #College #Universitylife #Collegelife
 
Kwani Bodi ya mkopo lini wanatoa majina ya wanafunzi ili kuruhusu Appeal na muda wa wanafunzi kuripoti vyuoni umekaribia.
 
amina ndg me pia naitaji jibu kwa hili
Wanafunzi wanasubiri,ili waliokosa mkopo wajue wanajipangaje majina yanatoka one week before opening date. Je,aliyekosa mkopo atawezaje kulipa hiyo ada na alijua mkopo ni mkombozi hata wazazi wanabaki njia panda.
 
Back
Top Bottom