Bodi ya Mikopo (HESLB) pamoja na kutoa mwongozo Kidato cha Nne kuomba mkopo wa Diploma, mfumo wao hauruhusu

Bodi ya Mikopo (HESLB) pamoja na kutoa mwongozo Kidato cha Nne kuomba mkopo wa Diploma, mfumo wao hauruhusu

Joined
Jun 28, 2024
Posts
5
Reaction score
7
Samahani, naomba kujua hivi bodi ya mkopo wa elimu ya juu Inatuchukuliaje Watanzania? Maana kwenye mwongozo wa mkopo wa diploma 2024/25 wanaruhusu mwenye elimu ya form four, certificate na form 6 aombe mkopo.

Cha ajabu ukiingia kwenye mfumo wa kuomba mkopo (OLAMS) education level wameweka machaguo mawili tu yaani Certificate na form 6 tu, kwa hiyo wahitimu wa form 4 ambao wameshalipia na application fee mnawasaidiaje?
 
Samahani, naomba kujua hivi bodi ya mkopo wa elimu ya juu Inatuchukuliaje Watanzania? Maana kwenye mwongozo wa mkopo wa diploma 2024/25 wanaruhusu mwenye elimu ya form four, certificate na form 6 aombe mkopo.

Cha ajabu ukiingia kwenye mfumo wa kuomba mkopo(OLAMS) education level wameweka machaguo mawili tu Yaani Certificate na form 6 tu, Kwa hiyo wahitimu wa form 4 ambao wameshalipia na application fee mnawasaidiaje?
Ngoja tusubir wakuje
 
Kumbe tupo wengi,
Mwenyewe nimeshangaa sana wamekula 30 ya maombi, nikaliwa 6 ya kuhakiki cheti RITA bado gharama nyingine kibao nimechoma halafu nakuta kipengele cha "post form four" aisee nikalegea kabisa
 
Kumbe tupo wengi,
Mwenyewe nimeshangaa sana wamekula 30 ya maombi, nikaliwa 6 ya kuhakiki cheti RITA bado gharama nyingine kibao nimechoma halafu nakuta kipengele cha "post form four" aisee nikalegea kabisa
We form four failures kule kwenye uzi mwingine unatuuliza nini kwa kudanganya ni mdogo wako kumbe ni wewe? ephen_ ona huyu boya anatusumbua kumshauri.
 
We form four failures kule kwenye uzi mwingine unatuuliza nini kwa kudanganya ni mdogo wako kumbe ni wewe? ephen_ ona huyu boya anatusumbua kumshauri.
Yaani humu jf mtu hawezi kusema ni yeye lazima atasingizia ni ndugu yake au rafiki
Na huyu form 4 alimaliza muda tu
 
Yaani humu jf mtu hawezi kusema ni yeye lazima atasingizia ni ndugu yake au rafiki
Na huyu form 4 alimaliza muda tu
Na wewe umeungana na kauli hizo? Basi sawa ila tambua nilikukubali
 
Hatimaye wameweka kipengele cha form four! Lakini sasa...
 
Samahani, naomba kujua hivi bodi ya mkopo wa elimu ya juu Inatuchukuliaje Watanzania? Maana kwenye mwongozo wa mkopo wa diploma 2024/25 wanaruhusu mwenye elimu ya form four, certificate na form 6 aombe mkopo.

Cha ajabu ukiingia kwenye mfumo wa kuomba mkopo (OLAMS) education level wameweka machaguo mawili tu yaani Certificate na form 6 tu, kwa hiyo wahitimu wa form 4 ambao wameshalipia na application fee mnawasaidiaje?
Chief naona wameweka kipengele cha form four sasahivi lakini nikifika mwisho wa hatua hiyo haitaki kucomfirm, inasema nijaze taarifa za sponsorship ya post form four education wakati mimi kule nilijaza "no" sina sponsorship. Namba yao ya huduma kwa wateja nimesubiri dk 35 hawajanipokelea simu yangu HEBU NJOONI TUPEANE UJUZI NA MIONGOZO HAPA
 
Mbona mm nazinguliwa ku-submit loan application? Muda wowte naambiwa"Error occured, please try again"
 
Hivi inawezkana kuomba mkopo wa elimu ya juu Kwa kutumia smartphone au Kuna sehemu simu itafeli?
 
Back
Top Bottom