Wilson Gamba JF-Expert Member Joined Mar 1, 2013 Posts 808 Reaction score 878 May 1, 2013 #1 Nimeingia kwenye web ya heslb,hakuna taarifa yoyote juu ya application 2013/14,kama walivyokuwa wametangaza kuanza leo;kama kuna m2 anataarifa zaidi atujuze
Nimeingia kwenye web ya heslb,hakuna taarifa yoyote juu ya application 2013/14,kama walivyokuwa wametangaza kuanza leo;kama kuna m2 anataarifa zaidi atujuze
FUJISTU JF-Expert Member Joined Mar 20, 2013 Posts 261 Reaction score 93 May 1, 2013 #2 kaka fungua olas.heslb.go.tz ndio imeshaanza fanya kazi hiyo system ila tangazo hawajaweka bado