Bodi ya mikopo kuanza makato upya baada ya Miaka minne kumaliza deni!

Bodi ya mikopo kuanza makato upya baada ya Miaka minne kumaliza deni!

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Nimeshanganzwa na makato mapya toka bodi ya mikopo kwa mshahara uliopita na Kwa watu wengi tu wamekatwa ambao walishalipa tayari sijui tukapewa na certificate of nini ?.

Nolipojaribu kuwasiliana nao majibu yao wanasema hiyo ni retention fee hili limenishangaza sana na nimewapa statement ya malipo, wananiambia basi niandike barua ya kusitisha makato na hiyo pesa ntarudishiwa.

Kwa huu usumbufu na msononeko walionipa ntafanyaje?
 
Nimeshanganzwa na makato mapya toka bodi ya mikopo kwa mshahara uliopita na Kwa watu wengi tu wamekatwa ambao walishalipa tayari sijui tukapewa na certificate of nini ?.

Nolipojaribu kuwasiliana nao majibu yao wanasema hiyo ni retention fee hili limenishangaza sana na nimewapa statement ya malipo, wananiambia basi niandike barua ya kusitisha makato na hiyo pesa ntarudishiwa.

Kwa huu usumbufu na msononeko walionipa ntafanyaje?

Duh pole sana mkuu.

Kwani retention fee si iliondolewa au waliondoa kitu gani?

Inabidi tu uandike hiyo barua walivyokwambia. Lakini si hata mwezi huu watakata pia?
 
Hakuna taasisi yoyote ya
serikali ambao wako makini. Ukienda bima ya afya ndo kuna kila aina ya ubabaishaji. Sijui Watanzania tufanyeje
 
Back
Top Bottom