KERO Bodi ya Mikopo kuchelewesha fedha za kujikimu (Boom) kwa wanafunzi

KERO Bodi ya Mikopo kuchelewesha fedha za kujikimu (Boom) kwa wanafunzi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Tunaomba Mtusemee!

Hawa bodi ya mikopo Kuna figisu wanafanya mara ya kwanza walisema tarehe 20 Mei watatoa mikopo, lakini tarehe ishirini ikafika kwa SAUT Mwanza wakasema tuende tukahakiki account zetu za benki. Tukaenda hapakuwa na uhakiki, Ilikuwa ni kusaini makaratasi tu. Juzi wamesema kufikia tarehe 3 kila mnufaika wa mkopo atakuwa amepata lakini huku SAUT Mwanza hakuna hata mmoja aliyepata. Ninahisi kuna kitu hakiko sawa HESLB kuna vitu haviendi sawa.

Vita picha kama wafanyakazi wa HESLB wangekuwa wanacheleweshewa mishahara au hata wafanyakazi wengine wa serikari , Kuna feeling Fulani lazima watapata, nimetolea mfano wa Mshahara kwa Sababu kwa wanafunzi boom ndio tunategemea Ili kijikimu na sio kwamba tunapewa bure, hapana tutakuja kulipa tena kwa riba.

Bodi ya mikopo ijitafakari ufanisi umekuwa mdogo na hizi ni zama za technology ambapo vitu vingi vinaweza kuwa Automated , Wanafunzi wanteseka sana kwa kuwa wao HESLB wamekaza huku ofisini hawawezi kujua.

Pia soma HESLB: Fedha za kujikimu (Chakula na Malazi), Wanafunzi kuanza kupokea kuanzia Jumatatu, Mei 20, 2024
 
Tunaomba Mtusemee!

Hawa bodi ya mikopo Kuna figisu wanafanya mara ya kwanza walisema tarehe 20 Mei watatoa mikopo, lakini tarehe ishirini ikafika kwa SAUT Mwanza wakasema tuende tukahakiki account zetu za benki. Tukaenda hapakuwa na uhakiki, Ilikuwa ni kusaini makaratasi tu. Juzi wamesema kufikia tarehe 3 kila mnufaika wa mkopo atakuwa amepata lakini huku SAUT Mwanza hakuna hata mmoja aliyepata. Ninahisi kuna kitu hakiko sawa HESLB kuna vitu haviendi sawa.

Vita picha kama wafanyakazi wa HESLB wangekuwa wanacheleweshewa mishahara au hata wafanyakazi wengine wa serikari , Kuna feeling Fulani lazima watapata, nimetolea mfano wa Mshahara kwa Sababu kwa wanafunzi boom ndio tunategemea Ili kijikimu na sio kwamba tunapewa bure, hapana tutakuja kulipa tena kwa riba.

Bodi ya mikopo ijitafakari ufanisi umekuwa mdogo na hizi ni zama za technology ambapo vitu vingi vinaweza kuwa Automated , Wanafunzi wanteseka sana kwa kuwa wao HESLB wamekaza huku ofisini hawawezi kujua.

Pia soma HESLB: Fedha za kujikimu (Chakula na Malazi), Wanafunzi kuanza kupokea kuanzia Jumatatu, Mei 20, 2024
Bro Bora yenu nyinyi nahisi hivi vyuo vya saut navyo ni tatizo saut ya mbeya huku CUoM course ya baed2 ilienda field mwezi wa 3 pasipo kupewa boom wameenda huko wameish maisha magumu wamerud mwezi wa tano tarehe 3 awakupewa boom lao mpaka kwenye tarehe 26 hilo ni boom la 3 wanasikilizia boom la 4 na walikuwa na madeni kibao coz field huwez kwenda patupu wamerud chuo ndo hivo tena mara Kodi chakula Amna wadeni wanakudai ada ujalipa...wamepata tu PESA Yao mpka sasahiv awana kitu tena inasikitisha 😭😭😭😭😂😂
 
Tunaomba Mtusemee!

Hawa bodi ya mikopo Kuna figisu wanafanya mara ya kwanza walisema tarehe 20 Mei watatoa mikopo, lakini tarehe ishirini ikafika kwa SAUT Mwanza wakasema tuende tukahakiki account zetu za benki. Tukaenda hapakuwa na uhakiki, Ilikuwa ni kusaini makaratasi tu. Juzi wamesema kufikia tarehe 3 kila mnufaika wa mkopo atakuwa amepata lakini huku SAUT Mwanza hakuna hata mmoja aliyepata. Ninahisi kuna kitu hakiko sawa HESLB kuna vitu haviendi sawa.

Vita picha kama wafanyakazi wa HESLB wangekuwa wanacheleweshewa mishahara au hata wafanyakazi wengine wa serikari , Kuna feeling Fulani lazima watapata, nimetolea mfano wa Mshahara kwa Sababu kwa wanafunzi boom ndio tunategemea Ili kijikimu na sio kwamba tunapewa bure, hapana tutakuja kulipa tena kwa riba.

Bodi ya mikopo ijitafakari ufanisi umekuwa mdogo na hizi ni zama za technology ambapo vitu vingi vinaweza kuwa Automated , Wanafunzi wanteseka sana kwa kuwa wao HESLB wamekaza huku ofisini hawawezi kujua.

Pia soma HESLB: Fedha za kujikimu (Chakula na Malazi), Wanafunzi kuanza kupokea kuanzia Jumatatu, Mei 20, 2024
Tuwape pole. Ila nimeona hii kule insta na X HESLB wame-comment:

'Tunashukuru kwa maoni haya kutoka kwa wadau wetu!Kwa ujumla, malipo kwa wanafunzi wanufaika wote katika vyuo vyote yanaendelea na hakuna tatizo la fedha.Kwa SAUT-Mwanza, kuna wanafunzi takribani 10,360 wanaonufaika na mikopo ya elimu kutoka Serikalini kupitia HESLB. Kati yao, wanafunzi 8,681 wameshapokea fedha za kujikimu (Meals and Accommodation Allowances) na wengine 1,679 wamelipwa leo. Hivyo, wote wameshalipwa!#WeweNdoFuture#TimizaWajibu'
 
Back
Top Bottom