Bodi ya mikopo kulikoni mna ubaguzi

Kayabwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2012
Posts
385
Reaction score
86
wanafunzi wa Jordan-Moro walienda field kabla ya wa UDS zaidi ya wiki mbili.Cha kushangaza hatujapata pesa ya field lakini UDSM wamepata.Kwanini?
 
Nguvu ya umma iliyopo UDSM. Serikali hii ni dhaifu, bila shinikizo haifanyi kitu
 
Udsm kuna nguvu ya umma.asa nyie mnajifanya walokole wataacha kuwadharau!
 
ninyi si ndio mmnajifanya magamba liwalo na liwe
 
Poleni mi nimesahau ata tarehe niliyoingiziwa,uenda tatzo lipo apo chuon kwenu na serikali yenu ya wanafunzi kwa kuto kufatilia kwa ukaribu zaid swala hili.
 
wanafunzi wote ama wa kiislamu tu? Si NECTA na serikali ya ccm wanapendelea wakristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…