Bodi ya mikopo: Kuna mbinu gani hapa?

Bodi ya mikopo: Kuna mbinu gani hapa?

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Wana jf kwa wale wanafunzi wa elimu ya juu wanaonufaika na bodi ya mikopo, mwisho wa ku update taarifa ni leo 30 June lakin cha kushangaza toka asubuhi website ya bodi haifunguki kabisa!

Tufanyeje? Hili limekaaje? Tushausiane wana jf
 
wanataka wengi mshindwe ku-update then wawa-disqualify mkopo...
 
Back
Top Bottom