Bodi ya mikopo mambo yameiva muda wowote kuanzia siku ya leo mambo yatakuwa hadharani


Mjomba mkopo ni kwa wale waloandikiwa PRIORTY 2,kwa mujibu wa HESLB.
 

Asante kwa taarifa
 
hapa sasa ndo patamu!!!! akili na hela tu, sitaki story nyingi!!1 Ahsante mkuu
 
oya wazeiya ni kweli mi mwenyewe nimeambiwa hivyo hivyo. Source 0713122995 mcheki huyu jamaa ana uhusiano wa karibu na heslb.
 
wanatoa sangapi wadau?? maana tulishasikia maneno kama haya muda tu msiwe mnatuzengua bwana
 
kwa sasa watu wengi wanasubiri mikopo kwa hamu kubwa,wengi wao wana umri mkubwa kuliko wewe sasa sio vyema kuwadanganya na kuwarusha roho kiasi hicho.siku zote taarifa zako zimekua hazina tija kabisa.muungwana asipokua na la kusema huwa ananyamaza tu na kusikiliza wengine,sio lazima kuandike wewe tu kila siku
 
Nyie mnaobishana humu ndio mnaoweza kujisomesha bila loan. Wahitaji wenyewe wapo huko vijijini wanasubri waletewe taarifa kwa simu. Ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…