Vijana ingawa hii ni serikali ya Magamba,bado naamini kuwa watajitahidi kutoa mikopo kwa watu wote ambao kwa kweli ni wahitaji wa mikopo, msijali si unajua sisi ndio wapiga kura mwaka 2015 hawawezi kufanya upuuzi wa kutubania mikopo sie wakina kayumba hata kama tumechaguliwa non priority coarses
Wana ndugu nimepata taarifa sasa hivi kupitia mwana dodoso mwenzangu aliye ndani ya HESLB na amenihakikishia ya kwamba taratibu zote za ku-upload majina ya wanafunzi waliopata mikopo ya elimu ya juu umefikia tamati hivyo muda wowote kuanzia sasa tuelekeze macho yetu ndani ya Welcome to HESLB tukajionee wenyewe mambo ya bodi. Kwa mliotembelea website ya HESLB sasa hivi mtaona baadhi ya mabadiliko katika website hiyo kwani hata kale ka alama ka-new hakaonikani tena. Mjumbe hafungwi. asanteni nimefikisha.
Kila nikiona neno heslb mwili unanisisimka
oya wazeiya ni kweli mi mwenyewe nimeambiwa hivyo hivyo. Source 0713122995 mcheki huyu jamaa ana uhusiano wa karibu na heslb.
mkuu atakacho kujibu tupia basi humu... ahsante sana kama utafanya hivyo tupate uhakika sienampigia simu sasa hv