Mr.samba de man
Member
- Sep 4, 2013
- 55
- 7
Waku labda mi cijaelewa masharti ya bodi ya mikopo elimu ya juu 2014/2015 kuna kipengele kinasema aplicants must be completed diploma more than three year ago wana maana gan? Je watu wenye sifa hapo ni wale waliomalza muda gan? Naomba msaada wenu.