Waku labda mi cijaelewa masharti ya bodi ya mikopo elimu ya juu 2014/2015 kuna kipengele kinasema aplicants must be completed diploma more than three year ago wana maana gan? Je watu wenye sifa hapo ni wale waliomalza muda gan? Naomba msaada wenu..
asante Irumba hicho kipengele bwana wadai tunawaomba coments zao mi diploma 2011 kurudi nyuma tumekata tamaa wengine wanasema ni zaidi ya miaka 3 kurudi nyuma da! Mpaka michanganyo!
asante irumba hicho kipengele bwana wadai tunawaomba coments zao mi diploma 2011 kurudi nyuma tumekata tamaa wengine wanasema ni zaidi ya miaka 3 kurudi nyuma da! Mpaka michanganyo!