Mshangai
JF-Expert Member
- Feb 16, 2008
- 468
- 1,086
Mwezi November Bodi ya mikopo pengine kwa kuona imeishiwa fedha za kulipana posho zao ikatunga habari kuwa wale wote ambao wamekosa mikopo ila wanadhani walistahili kukopeshwa na au wamepata nafasi ila hawana uwezo wa kujisomeaha elimu ya juu wanaweza ku appeal.
Moja ya masharti ya kuappeal ni kutuma kwa M pesa shs 5,000/ kwa bodi. Huku wakielewa kuwa kutokana na shida walizo nazo maelfu ya watoto wa masikini lazima watatuma tuu appeal.
Ni kweli maelfu ya watoto wa masikini walifanya hivyo na hapo ikawa imetoka. Hela imeliwa hakuna taarifa nyingine yeyote kutolewa wala hakuna aliyepewa. Jee huo si wizi wa mchana kweupe? Kama Taasisi ya serikali inaamua kuwaibia watu wake mchana kweupe na serikali husika inafumbia macho jambo hilo ndio kusema inahusika na hujuma hizo. Kweli nchi hii ni ya aina yake.
Moja ya masharti ya kuappeal ni kutuma kwa M pesa shs 5,000/ kwa bodi. Huku wakielewa kuwa kutokana na shida walizo nazo maelfu ya watoto wa masikini lazima watatuma tuu appeal.
Ni kweli maelfu ya watoto wa masikini walifanya hivyo na hapo ikawa imetoka. Hela imeliwa hakuna taarifa nyingine yeyote kutolewa wala hakuna aliyepewa. Jee huo si wizi wa mchana kweupe? Kama Taasisi ya serikali inaamua kuwaibia watu wake mchana kweupe na serikali husika inafumbia macho jambo hilo ndio kusema inahusika na hujuma hizo. Kweli nchi hii ni ya aina yake.