Bodi ya Mikopo, onyesheni huruma kwa pesa za walipa kodi

Bodi ya Mikopo, onyesheni huruma kwa pesa za walipa kodi

Gwamanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2021
Posts
223
Reaction score
434
Huwa najiuliza, kama Taifa tuna nini akilini mwetu?

Haiingii akilini kuwakopesha zaidi ya milioni 13 vijana, tena kutoka familia masikini, ili wasome vyuoni halafu tushindwe kuzirejesha hizo hela.

Huwa nawaza, wahusika wanashindwa nini kutengeneza mfumo bora wa elimu?

Mfano, kujenga VETA, football academy, scheme za umwagiliaji, lunch za mifugo, viwanda vidogo vidogo ili kuziba pengo la ukosefu wa ajira.

Fikiria, Tanzania tunauza nini huko nje? Hapana, hata pamba stick za kuchokonolea masikio ni Made in China wakati ni vitu vya skills ndogo ndogo.

Hayo mamilioni yanayotumika kuwakopesha watoto wa masikini wakasomee ualimu wa Kiswahili na History, hebu jenga VETA, academy, scheme za umwagiliaji, viwanda vidogo vidogo.

Tengeneza u busy kwa watu, wazalishe ili kesho tuuze nje kwa zaidi ya asilimia 80.

Miti ipo, mabonde kama Maragarasi yapo, masoko hasa Afrika yapo, hali ya hewa Tanzania inasapoti karibu kila zao.

HESLB, oneeni huruma pesa za walipa kodi. Mimi mnadai zaidi ya milioni 13, nisipoajiriwa hizo fedha sizani kama zitarudi.

Niseme tu, nilichokiona kwenye usaili wa walimu, loan board mnapoteza fedha nyingi sana na vijana hawana matumaini. Wengi tumetokea katika familia masikini – huo ndio uhalisia.

Mtasema tujiajiri, lakini niambieni, ni wafanyabiashara wangapi au ni wajasiriamali wangapi nchi hii wenye uwezo wa kupata 30,000 kama faida kwa siku? Wangapi??
 
Ni swala la muda tu, wote tutachanganyikiwa. Usipowapa haki yao watu wakiwa timamu na ukawachukulia kama mazuzu kwakuwa mnashiba, mtawapa kwanguvu wakiwa wamechanganyikiwa.
 
Huwa najiuliza, kama Taifa tuna nini akilini mwetu?

Haiingii akilini kuwakopesha zaidi ya milioni 13 vijana, tena kutoka familia masikini, ili wasome vyuoni halafu tushindwe kuzirejesha hizo hela.

Huwa nawaza, wahusika wanashindwa nini kutengeneza mfumo bora wa elimu?

Mfano, kujenga VETA, football academy, scheme za umwagiliaji, lunch za mifugo, viwanda vidogo vidogo ili kuziba pengo la ukosefu wa ajira.

Fikiria, Tanzania tunauza nini huko nje? Hapana, hata pamba stick za kuchokonolea masikio ni Made in China wakati ni vitu vya skills ndogo ndogo.

Hayo mamilioni yanayotumika kuwakopesha watoto wa masikini wakasomee ualimu wa Kiswahili na History, hebu jenga VETA, academy, scheme za umwagiliaji, viwanda vidogo vidogo.

Tengeneza u busy kwa watu, wazalishe ili kesho tuuze nje kwa zaidi ya asilimia 80.

Miti ipo, mabonde kama Maragarasi yapo, masoko hasa Afrika yapo, hali ya hewa Tanzania inasapoti karibu kila zao.

HESLB, oneeni huruma pesa za walipa kodi. Mimi mnadai zaidi ya milioni 13, nisipoajiriwa hizo fedha sizani kama zitarudi.

Niseme tu, nilichokiona kwenye usaili wa walimu, loan board mnapoteza fedha nyingi sana na vijana hawana matumaini. Wengi tumetokea katika familia masikini – huo ndio uhalisia.

Mtasema tujiajiri, lakini niambieni, ni wafanyabiashara wangapi au ni wajasiriamali wangapi nchi hii wenye uwezo wa kupata 30,000 kama faida kwa siku? Wangapi??
Mbaga Jr na wenzio mnaitwa huku
 
Au unasikia parokia inachangisha kwa waumini tsh billion ikajenge kanisa lakini huwezi kusikia wakichangisha kwaajili ya kuanzisha kiwanda kitakachowaajiri waumini hao ili wazalishe, wauze wapate faida kisha katika asilimia ndogo ya hizo feida ndio wakajenge kanisa.
 
Ni swala la muda tu, wote tutachanganyikiwa. Usipowapa haki yao watu wakiwa timamu na ukawachukulia kama mazuzu kwakuwa mnashiba, mtawapa kwanguvu wakiwa wamechanganyikiwa.
Hii nchi kuna gap linatengenezwa na watawala ila wamevaa miwani kujifanya hawalioni, huwezi nikopesha zaidi ya million 13 nisomee kitu fulani meanwhile namaliza tu unaniambia nijiajiri, siungenipa hiyo pesa sasa kama mtaji, na kama kujiajiri ni simple mbona wao hata nepi wananunuliwa kwa kodi zetu??
 
Au unasikia parokia inachangisha kwa waumini tsh billion ikajenge kanisa lakini huwezi kusikia wakichangisha kwaajili ya kuanzisha kiwanda kitakachowaajiri waumini hao ili wazalishe, wauze wapate faida kisha katika asilimia ndogo ya hizo feida ndio wakajenge kanisa.
Basi tuseme tu Dunia haina huruma sasa tusemeje😂😂😂😂😂😂😂
 
Huwa nawaza, wahusika wanashindwa nini kutengeneza mfumo bora wa elimu?
Hata mfumo wa elimu uwe bora kiasi gani, suala la ukosefu wa ajira linategemea pia factors nyingine nyingi tu, ukimuuliza AI atakuchambulia vizuri tu
 
Kwa kifupi tumesetiwa... Siku tukiamka tutakua tisho kwa watawala wa ulimwengu
Acha washupaze shingo, ila Tz kuna Mass unemployment kuna jamaa mmoja ana kaka yake Doctor Md, alinichekesha anasema kaka yake hata akiona tangazo la uongo la kuomba Ajira anamfoadia wasapu badae ndio atakuja kukanusha, meaning wazazi na ndugu waliweka bond mda wao, fedha yao tusome, tusiporudisha fadhila hata kidogo tunawapa depression.
 
Hata mfumo wa elimu uwe bora kiasi gani, suala la ukosefu wa ajira linategemea pia factors nyingine nyingi tu, ukimuuliza AI atakuchambulia vizuri tu
Kama hujui kitu kwa developing country bado hakutakiwi kuwa na ukosefu wa Ajira kwasababu machaka ni mengi, kinachofanya ukosefu uwepo ni urafi na ukosefu wa sera na vipaumbele ili ujue hilo tenga siku tembelea shule za kata hata 3 tu utajua ninachokiongea, tembelea zahanati au vituo vya Afya hata vi3 utajua tu, jiulize kigoma hakufai kuanzishwa irrigation scheme, mainjinia watanzania wanasapotiwaje? usukumani, uhani na unyamwezini hakufai kujengwa academy tukazalisha makocha, marefa na wasakata ball na waimbaji? Mimi naamini Nchi zinazoendelea magap ya watu kuajiriwa bado ni mengi sana, ubunifu tu hasa wawatawala unahtajika.
 
Huwa najiuliza, kama Taifa tuna nini akilini mwetu?

Haiingii akilini kuwakopesha zaidi ya milioni 13 vijana, tena kutoka familia masikini, ili wasome vyuoni halafu tushindwe kuzirejesha hizo hela.

Huwa nawaza, wahusika wanashindwa nini kutengeneza mfumo bora wa elimu?

Mfano, kujenga VETA, football academy, scheme za umwagiliaji, lunch za mifugo, viwanda vidogo vidogo ili kuziba pengo la ukosefu wa ajira.

Fikiria, Tanzania tunauza nini huko nje? Hapana, hata pamba stick za kuchokonolea masikio ni Made in China wakati ni vitu vya skills ndogo ndogo.

Hayo mamilioni yanayotumika kuwakopesha watoto wa masikini wakasomee ualimu wa Kiswahili na History, hebu jenga VETA, academy, scheme za umwagiliaji, viwanda vidogo vidogo.

Tengeneza u busy kwa watu, wazalishe ili kesho tuuze nje kwa zaidi ya asilimia 80.

Miti ipo, mabonde kama Maragarasi yapo, masoko hasa Afrika yapo, hali ya hewa Tanzania inasapoti karibu kila zao.

HESLB, oneeni huruma pesa za walipa kodi. Mimi mnadai zaidi ya milioni 13, nisipoajiriwa hizo fedha sizani kama zitarudi.

Niseme tu, nilichokiona kwenye usaili wa walimu, loan board mnapoteza fedha nyingi sana na vijana hawana matumaini. Wengi tumetokea katika familia masikini – huo ndio uhalisia.

Mtasema tujiajiri, lakini niambieni, ni wafanyabiashara wangapi au ni wajasiriamali wangapi nchi hii wenye uwezo wa kupata 30,000 kama faida kwa siku? Wangapi??
Hapo kwenye lunch za mifugo!
Duh
P
 
Huwa najiuliza, kama Taifa tuna nini akilini mwetu?

Haiingii akilini kuwakopesha zaidi ya milioni 13 vijana, tena kutoka familia masikini, ili wasome vyuoni halafu tushindwe kuzirejesha hizo hela.

Huwa nawaza, wahusika wanashindwa nini kutengeneza mfumo bora wa elimu?

Mfano, kujenga VETA, football academy, scheme za umwagiliaji, lunch za mifugo, viwanda vidogo vidogo ili kuziba pengo la ukosefu wa ajira.

Fikiria, Tanzania tunauza nini huko nje? Hapana, hata pamba stick za kuchokonolea masikio ni Made in China wakati ni vitu vya skills ndogo ndogo.

Hayo mamilioni yanayotumika kuwakopesha watoto wa masikini wakasomee ualimu wa Kiswahili na History, hebu jenga VETA, academy, scheme za umwagiliaji, viwanda vidogo vidogo.

Tengeneza u busy kwa watu, wazalishe ili kesho tuuze nje kwa zaidi ya asilimia 80.

Miti ipo, mabonde kama Maragarasi yapo, masoko hasa Afrika yapo, hali ya hewa Tanzania inasapoti karibu kila zao.

HESLB, oneeni huruma pesa za walipa kodi. Mimi mnadai zaidi ya milioni 13, nisipoajiriwa hizo fedha sizani kama zitarudi.

Niseme tu, nilichokiona kwenye usaili wa walimu, loan board mnapoteza fedha nyingi sana na vijana hawana matumaini. Wengi tumetokea katika familia masikini – huo ndio uhalisia.

Mtasema tujiajiri, lakini niambieni, ni wafanyabiashara wangapi au ni wajasiriamali wangapi nchi hii wenye uwezo wa kupata 30,000 kama faida kwa siku? Wangapi??
Una hoja serikali ikusikilize!
 
Back
Top Bottom