Bodi ya mikopo sitisheni Kutoa mikopo Kwa wanaotaka kusomea Sheria, ualimu na uhasibu japo Kwa miaka 7

Wazolee

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
3,183
Reaction score
3,660
Wanasheria, walimu na wahasibi wapo wengi sana mtaani na hawana ajira
Kitendo Cha bodi ya mikopo kuendelea kuchoma pesa Kila mwaka kuwakopesha wanafunzi wapya wakasomee hizo fani pesa ambazo hata hamjui kama zitarudi hayo ni matumizi mabaya Kwa pesa za walipa kodi

Tayari wapo wengi mtaani wanasubiri ajira na hata hawajui lini watapata hizo ajira Sasa mnaendelea kuzalisha wengine Kwa gharama kubwa Ili iweje?

Hivi ni kweli mliopewa dhamana katika nchi hii ni vilaza kiasi hicho jambo ambalo hata mwenye alimu ya darasa la saba analiona lakini nyinyi na madigrii yenu hamlioni

Kwanini hizo pesa msizipeleke katika nyanja zingine za elimu kama kutanua vyoo vya VETA na kuanzisha vingine vya fani mbalimbali za ufundi
 
Wahasibu ajira zao kila leo zinatangazwa, ni wengi ila walau ajira zao sio fiche za kuisubiri serikali.
 
Maana ya kusoma ni kupata maarifa sio uajiriwe. Ajira sio lengo hasa la usomi.
Hoja ya mleta mada nadhani ni kodi iliyotumika kusomesha inaurudije?
 
Hiyo pesa ya mkopo wapeni wafanye Biashara hawa watu mtatua huku mtaani,vizinga vingiiii.
 
Dah
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…