Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,288
- 791
Hii inaumiza sana,
Unapotuma pesa kwa M-PESA unapewa transaction ID na VODA, Hiyo transaction ID unaitumia ku-confirm malipo HESLB ili uweze kuprint form ya maombi ya mkopo: mbaya kuliko, ukiingiza hiyo transaction id unaambiwa "imeshatumiwa na mtu mwingine" ukipiga simu HESLB wanakwambia "utakuwa umeiba transaction ID ya mtu mwingine"!!!! Ukipiga simu voda wanakwambia wasiliana na HESLB!!!!
Kinachonifanya niseme huu ni wizi ni jinsi ilivyo rahisi kuona nani kalipa ngapi kwa mawasiliano kati ya VODA na HESLB! Namba zote za simu zimesajiliwa; ni rahisi sana kuangalia jina la mtu aliyefanya transaction; au kuconfirm kama imetokea error MPESA wakaasign transaction ID moja kwa watu wawili!!! kitu ambacho ni unlikely! Naongea hivi kwa uchungu sana tu kwa sababu imetokea kwa jamaa zangu wawili, siku nne sasa na hakuna dalili za ama kurejeshewa pesa zao au kuthibitishiwa malipo!!
Pale HESLB kuna wakina mama wana majibu ya nyodo sana, hawajali hawa wanafunzi ama wazazi wao wanapata vp hizo pesa, huu ni wizi wa kipumbavu kabisa ambao haufai kufumbiwa macho!!!
Najua ni wengi sana watakaolizwa kwa mtindo huu! wegine hawana sehemu hata ya kuongea, lakn mimi nasema kwa niaba yao-WIZI HUU UTAUMIZA WENGI:angry:!
NCHII HII ITAENDELEA KWELI KWA UFISADI WA NAMNA HII, INSANE:angry:
Unapotuma pesa kwa M-PESA unapewa transaction ID na VODA, Hiyo transaction ID unaitumia ku-confirm malipo HESLB ili uweze kuprint form ya maombi ya mkopo: mbaya kuliko, ukiingiza hiyo transaction id unaambiwa "imeshatumiwa na mtu mwingine" ukipiga simu HESLB wanakwambia "utakuwa umeiba transaction ID ya mtu mwingine"!!!! Ukipiga simu voda wanakwambia wasiliana na HESLB!!!!
Kinachonifanya niseme huu ni wizi ni jinsi ilivyo rahisi kuona nani kalipa ngapi kwa mawasiliano kati ya VODA na HESLB! Namba zote za simu zimesajiliwa; ni rahisi sana kuangalia jina la mtu aliyefanya transaction; au kuconfirm kama imetokea error MPESA wakaasign transaction ID moja kwa watu wawili!!! kitu ambacho ni unlikely! Naongea hivi kwa uchungu sana tu kwa sababu imetokea kwa jamaa zangu wawili, siku nne sasa na hakuna dalili za ama kurejeshewa pesa zao au kuthibitishiwa malipo!!
Pale HESLB kuna wakina mama wana majibu ya nyodo sana, hawajali hawa wanafunzi ama wazazi wao wanapata vp hizo pesa, huu ni wizi wa kipumbavu kabisa ambao haufai kufumbiwa macho!!!
Najua ni wengi sana watakaolizwa kwa mtindo huu! wegine hawana sehemu hata ya kuongea, lakn mimi nasema kwa niaba yao-WIZI HUU UTAUMIZA WENGI:angry:!
NCHII HII ITAENDELEA KWELI KWA UFISADI WA NAMNA HII, INSANE:angry: