LEVEL
Senior Member
- Jul 4, 2013
- 195
- 51
waliopendekeza kuwepo kwa bodi ya mikopo vyuo vikuu walikua na nia nzuri sana kuwasaidia watanzania kupata elimu ya juu kwa manufaa yao na jamii kwa ujumla. lakini kwa maoni yangu mimi sioni umhim wowote wakua na bodi hii kwa sababu upatikanaji wa mikopo kwanza umekua mgumu sana kutokana na kutokua ni vigezo vinavyo julikana kwa wanachuo kupata mkopo, ucheleweshwaji wa mikopo kwa wanafunzi wanao bahatika kupata mikopo na malalamiko mengine yanayo ihusu bodi hii.
hivyo nionavyo mimi ni bora serikali yetu ingepunguza ada za vyuo vikuu ili watu tujisomeshe wenyewe, kuliko kuishi kwa mikopo ambayo inatufanya tuishi maisha ya wasiwasi vyuoni.
hivyo nionavyo mimi ni bora serikali yetu ingepunguza ada za vyuo vikuu ili watu tujisomeshe wenyewe, kuliko kuishi kwa mikopo ambayo inatufanya tuishi maisha ya wasiwasi vyuoni.