BODI YA MIKOPO washaita kweli coz ni robo mwaka SASA

Tungaraza Jr

Senior Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
196
Reaction score
48
Hivi kuna mwenye mchakato wa kilichoendelea? Kulikua na nafasi kama 17 hivi pale, cha kushangaza hadi leo kimya au wanatusahaulisha kwanza?
 
Hivi kuna mwenye mchakato wa kilichoendelea? Kulikua na nafasi kama 17 hivi pale, cha kushangaza hadi leo kimya au wanatusahaulisha kwanza?

nakumbuka niliitwa kwenye oral tarehe 24 mwezi january,bt nimecheck na wenzangu tuliofanya oral baadhi washapigiwa simu waende kazini since tarehe 7 mwezi wa pili.kifup watu washaanza kazi.
 
mkuu watu washaajiliwa muda mrefu,kuna mtu namfahamu kaitwa last month....!never give up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…