Tungaraza Jr Senior Member Joined Feb 3, 2012 Posts 196 Reaction score 48 Mar 12, 2012 #1 Hivi kuna mwenye mchakato wa kilichoendelea? Kulikua na nafasi kama 17 hivi pale, cha kushangaza hadi leo kimya au wanatusahaulisha kwanza?
Hivi kuna mwenye mchakato wa kilichoendelea? Kulikua na nafasi kama 17 hivi pale, cha kushangaza hadi leo kimya au wanatusahaulisha kwanza?
B bebiwilli Member Joined Mar 4, 2011 Posts 70 Reaction score 16 Mar 12, 2012 #2 Tungaraza Jr said: Hivi kuna mwenye mchakato wa kilichoendelea? Kulikua na nafasi kama 17 hivi pale, cha kushangaza hadi leo kimya au wanatusahaulisha kwanza? Click to expand... nakumbuka niliitwa kwenye oral tarehe 24 mwezi january,bt nimecheck na wenzangu tuliofanya oral baadhi washapigiwa simu waende kazini since tarehe 7 mwezi wa pili.kifup watu washaanza kazi.
Tungaraza Jr said: Hivi kuna mwenye mchakato wa kilichoendelea? Kulikua na nafasi kama 17 hivi pale, cha kushangaza hadi leo kimya au wanatusahaulisha kwanza? Click to expand... nakumbuka niliitwa kwenye oral tarehe 24 mwezi january,bt nimecheck na wenzangu tuliofanya oral baadhi washapigiwa simu waende kazini since tarehe 7 mwezi wa pili.kifup watu washaanza kazi.
D dav22 JF-Expert Member Joined Feb 22, 2012 Posts 1,887 Reaction score 312 Mar 13, 2012 #3 ishakula kwako mdau....
COURTESY JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 2,006 Reaction score 709 Mar 13, 2012 #4 mkuu watu washaajiliwa muda mrefu,kuna mtu namfahamu kaitwa last month....!never give up