Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) bado haijafungua dirisha la maombi, kwanini?

nsalu

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
1,189
Reaction score
1,240
Bodi ya mikopo mlitoa tangazo dirisha la maombi ya mkopo kwa mwaka 2021/2022 litafunguliwa tarehe 01 July 2021, lakini hadi muda huu halijafunguliwa na hata website yao inasumbua kufunguka.

Ingekuwa vzr kama kuna mabadiliko yoyote mngetujulisha wadau tukajua.
 

Kama picha tu jamaa waliona uvivu kuiweka katika vipimo ili ikae sawa wakaamua kuipandisha hivyohivyo sembuse kutoa updates za mara kwa mara?
 
Yn watu wengine ni vichwa maji kabisa, wametangaza kabsa siku dirisha litakapofunguliwa lkn bado mtu anakuja kuanzisha mada huku. Nenda kasome ule muongozo utaona tarehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…