DOKEZO Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu (HESLB) wanataka kukiuka mkataba wa kimalipo kwa wanufaika

DOKEZO Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu (HESLB) wanataka kukiuka mkataba wa kimalipo kwa wanufaika

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Copro mtego

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
619
Reaction score
796
Bodi ya mikopo (HESLB) kwa hili mnataka kuvuka mipaka kwa kutaka kukata pesa za posho kwa intern (watarajali) doctors, nurses etc.

Kwanza intern sio muajiriwa anakuwa katika mafunzo kwa njia ya vitendo na halipwi mshahara anapewa posho ya kujikim ndio maana TRA hawawakati kodi.

Pili mkataba unasema mtu anatakiwa apewe mwaka mmoja bila kukatwa baada ya masomo yake intern hata miezi miwili hawajamalizia mnataka kuwakata? Huo ni wizi.

Naona mnataka kuwa kausha damu sasa kama OYA. Halafu mnatuhamasisha tukajiandikishe kwa haya tunayofanyiwa kweli?

Hebu kuweni serious bodi ya mikopo
 
Mimi nilianza kukatwa Deni lao Mwezi mmoja baada ya kuanza kulipwa mshahara wa kwanza Kazini

Nilipoona usumbufu Mkubwa na Deni lao limebaki kidogo kuisha nilienda kulipa hela yao yote....

Jamaa wakaniuliza kama unataka kusoma Masters omba tukupe tena Mkopo 😜
 
Mimi nilianza kukatwa Deni lao Mwezi mmoja baada ya kuanza kulipwa mshahara wa kwanza Kazini

Nilipoona usumbufu Mkubwa na Deni lao limebaki kidogo kuisha nilienda kulipa hela yao yote....

Jamaa wakaniuliza kama unataka kusoma Masters omba tukupe tena Mkopo 😜
Waache kutufokea na pesa zao wakaenkwa kutulia wafuate kanuni walizoweka
 
msahada ndg zangu account yangu imebadilika na kuwa hivo kama mnavyona kweny image hapo chini so cjaelewa nimepata mkopo au rah!!
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-25-10-48-31-869_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2024-10-25-10-48-31-869_com.android.chrome.jpg
    123.6 KB · Views: 11
Back
Top Bottom