Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ishanichanganya hapa!

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ishanichanganya hapa!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Salam wakuu.

Mimi ni mnufaika wa bodi ya mikopo kutoka mwaka 2010 hadi 2013 June. Nilipewa jumla ya Mil 11 pamoja na penalty na mazaga zaga ikafika Mil 14.

Kufika 2015 nikaanza kulipa deni mdogo mdogo.

Salary Slip ya mwezi wa nne (watano na sita sijaweza zipata kwenye system) inasema nadaiwa Mil 1.4 hivi.

Sasa nimeingia kwenye system yao nijue nadaiwa bei gani nakuta madudu madudu tu sijaelewa.

Naambatanisha screenshot. Nishadata hapa.

IMG_20210716_221047.jpg
 
Haya mabodi ya mkopo ni takataka sana...wakati ule wa kudumbukiza zile VRF % na penalty yalikuwa yako fasta kama manyani ktk shamba la ndizi mbivu....ila sasa yako slow cause VFR na penalty imetolewa so hayana kabisa mzuka na kazi mafisi pori haya.
 
Kuna shida kwenye hii mifumo, kuna jamaa alikuwa bado anadaiwa km milion 5 hivi, lakini alipo jisajiri kuangalia balance ya deni...akakuta wanasema deni limeisha akafuate liquidation letter, tumebaki njia panda bila majibu
 
Moja kati ya taasisi mbovu kabisa za serikali kiutendaji.
Big salary poor output.
Bora mishahara yao mkawaongezee walimu wa vijijini posho.
Salam wakuu.

Mimi ni mnufaika wa bodi ya mikopo kutoka mwaka 2010 hadi 2013 June. Nilipewa jumla ya Mil 11 pamoja na penalty na mazaga zaga ikafika Mil 14.

Kufika 2015 nikaanza kulipa deni mdogo mdogo.

Salary Slip ya mwezi wa nne (watano na sita sijaweza zipata kwenye system) inasema nadaiwa Mil 1.4 hivi.

Sasa nimeingia kwenye system yao nijue nadaiwa bei gani nakuta madudu madudu tu sijaelewa.

Naambatanisha screenshot. Nishadata hapa.

View attachment 1856336
 
Kuna shida kwenye hii mifumo, kuna jamaa alikuwa bado anadaiwa km milion 5 hivi, lakini alipo jisajiri kuangalia balance ya deni...akakuta wanasema deni limeisha akafuate liquidation letter, tumebaki njia panda bila majibu
Hiyo inawezekana. Wako watu salary slip inasoma milioni 3 walipoenda ofisini kwao kuchukua statement wakakuta laki 2.
Alienda kulipa benki faster wakampa Clearance letter
 
Haya mabodi ya mkopo ni takataka sana...wakati ule wa kudumbukiza zile VRF % na penalty yalikuwa yako fasta kama manyani ktk shamba la ndizi mbivu....ila sasa yako slow cause VFR na penalty imetolewa so hayana kabisa mzuka na kazi mafisi pori haya.

Hawataki kuondoa kabisa VRF na penalty tunamuomba Waziri wa Elimu aingilie kati asikae kimya
 
Nadhani hii ndio taasisi ya serikali no 1 kwa upuuzi hapa Tz
 
Salam wakuu.

Mimi ni mnufaika wa bodi ya mikopo kutoka mwaka 2010 hadi 2013 June. Nilipewa jumla ya Mil 11 pamoja na penalty na mazaga zaga ikafika Mil 14.

Kufika 2015 nikaanza kulipa deni mdogo mdogo.

Salary Slip ya mwezi wa nne (watano na sita sijaweza zipata kwenye system) inasema nadaiwa Mil 1.4 hivi.

Sasa nimeingia kwenye system yao nijue nadaiwa bei gani nakuta madudu madudu tu sijaelewa.

Naambatanisha screenshot. Nishadata hapa.

View attachment 1856336

Nakushauri uende moja kwa moja kwa Mkurugenzi wa loan board na usitoke mpaka waondoshe VRF na penalty bila hivyo usikubali kabisa upuuzi wao
 
Ingia disbursement uonge iyo amount disbursed imetoka wap
Inakataa mkuu kuonekana. Inasema please wait masaa kibao.

Duh nimetumia Mil 26 kusoma coz ya ada ya mil 1.5 kwa mwaka miaka 3?
 
Back
Top Bottom