kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
Taarifa toka bodi ya mikopo imebainisha kuwa mgodi huo unaotegemewa na watoto wengi wa mkulima upo taabani kifedha kutokana na ufisadi mkubwa unaofanywa na viongozi wa juu wa sekta hiyo nyeti.Habari nyeti zilizolifikia gazeti la Nipashe ni kuwa kumekuwepo na semina elekezi zisizoisha pamoja na tabia ya kujipandishia mishahara na posho mbalimbali zisizo na mshiko.Imedaiwa kuwa pamoja na bodi kukana taarifa hizo ukweli umeendelea kuwahukumu.Hii inatokana na tukio la hivi majuzi la kujiongezea mishahara kufikia milion 7 na maposho kibao ikiwemo ya mavazi,kujikimu,nyumba na nyingine nyingi.KAZ KWENU MASKIN MNAO WATEGEMEA.