monakule
Member
- Sep 29, 2012
- 86
- 22
Bodi ya wahandisi ina matatizo makubwa, wanachelewesha kuchapisha vyeti kwa makusudi nadhani kwa sababu zao binafsi, sasa kama mhandisi tayari umeshaandikishwa ukaandika ripoti na bodi ikakaa na kukubaliwa na mwisho ukaapishwa, ni nini kinachelewesha kuchapisha vyeti?
Kwani kuna mchakato wowote tena? Unakuta unasubiri cheti hadi miezi 3 hadi 6, na ukiwapigia simu au kwenda pale kuchukua unaambiwa subiri viko kwenye mchakato wa kuchapishwa, ni mchakato gani huo?
Naomba kuwasilisha.
Kwani kuna mchakato wowote tena? Unakuta unasubiri cheti hadi miezi 3 hadi 6, na ukiwapigia simu au kwenda pale kuchukua unaambiwa subiri viko kwenye mchakato wa kuchapishwa, ni mchakato gani huo?
Naomba kuwasilisha.