KERO Bodi ya wahandisi wanachelewesha kuchapisha vyeti kwa makusudi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

monakule

Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
86
Reaction score
22
Bodi ya wahandisi ina matatizo makubwa, wanachelewesha kuchapisha vyeti kwa makusudi nadhani kwa sababu zao binafsi, sasa kama mhandisi tayari umeshaandikishwa ukaandika ripoti na bodi ikakaa na kukubaliwa na mwisho ukaapishwa, ni nini kinachelewesha kuchapisha vyeti?

Kwani kuna mchakato wowote tena? Unakuta unasubiri cheti hadi miezi 3 hadi 6, na ukiwapigia simu au kwenda pale kuchukua unaambiwa subiri viko kwenye mchakato wa kuchapishwa, ni mchakato gani huo?

Naomba kuwasilisha.
 
Kwanini wanachelewesha kwa makusudi mkuu?
 
Hivi sifa za kusajiliwa ni zipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…