Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Utapigaje kula wakati mwamedi kainunua timu tayari? Hapo mwamedi na beibi wake babara ndo wanachagua
Hujapata tu mwanaume tangu kipindi kile?Vp mbna wivu wa kike tena wataka akuoe ww et????
Umetumia haki yako ya kikatiba ya jamuhuri kuongea,ila kwakweli ulichokiwasilisha ni upumbavu tupu,Leo picha zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha bodi ya wakurugenzi Simba imekutana kufanya kikao chake kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo, kikao hicho kimeonyesha kuwa baadhj ya wajumbe hawakuwez kushiriki pengine ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao au wamegomea.Mfano mmoja wa wajumbe Kassim Dewji simuoni katika picha hizo, siku za hivi karibuni Kasssim ambaye historia yake pale Simba ni ndefu sana na kwa wale wasiomjua vzr wanamuona muona tu, alikuwa na sintofahamu na Ceo kabla ya kupatanishwa.
Nataka niwaambie viongozi wa bodi, wanachama na mashabiki wana mengi sana ya kuwaambia, yaani madukuduku kwa uongozi wenu tunayo mengi sana, Simba haijawahi kuwa dhalili kama sasa hivi, tuna mechi ugenini tukimaliza na Ruvu kesho, cjui kama tutaondoka na pointi huko mikoani kutokana na nionavyo katika timu yetu na wapinzani wetu wa jangwani walivyojipanga.
Timu yetu tangu imfurumushe albino imekuwa haieleweki, wachezaji wanaosajiliwa wametuangusha, mashabiki tunatoka uwanjani tukiwa na maumivu halafu watu wanachukulia poa tu.
Kabla ya usajili niliwahi kushauri baadhi ya wachezaji wa kusajiliwa, nikapuuzwa, yanga ikawasajili na Leo wanaonekana mali huku tukiwatolea macho, Yanga kuwa unbeaten kumesababishwa na sisi wenyewe, bila kuweka mikakati Yanga haifungwi na timu yoyote hapa bongo, wa kuifunga yanga ni Simba tu hakuna mwingine.
Yanga alikuwa mteja sana wa Simba, Simba ilikuwa na uwezo wa kucheza na wachezaji 8 uwanjani na ikaifunga yanga, Leo imekuwaje Simba awe ndio mteja wa Yanga?
Watu wanalalamika kuwa miongoni mwenu hamna uchungu na timu, kwa mfano ukiangalia kikao cha Leo cha bodi, mwenyekiti anaongea mjumbe mmoja anachat na simu, hivi kuna seriousness kweli kwenye kikao?
Tunaomba mtueleze uchaguzi unafanyika lini? Nyie mkiendelea Yanga itaendelea kuwa unbeaten. Simba ndio timu pekee yenye uwezo wa kuamua Yanga aendelee kuwa unbeaten au wafike mwisho.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hadi muda huu ipo nafasi ya Tatu mkuuShida yako ni kuifikiria zaidi yanga kuliko timu yako ya simba, ambayo mpaka sasa imefanikiwa kuingia makundi CCL, na ipo nafasi ya pili kwenye ligi ya nyumbani ambayo hata round ya kwanza haijaisha.
Kumbuka alikuwa ni Captain wa Rivers united Nigeria, kwani huyo waliyemleta cv yake unayo? Ukitaka ujue kuendesha club ya mpira wa miguu kwa level za simba, yanga na azam unahitaji hela si mchezo. Hebu piga hesabu ya kiingilio chako uwanjani utahitaji kuingia mechi ngapi ili kumlipa mshahara KibuHawa viongozi wana tatizo la kutokusikiliza watu. Naomba nipooze maneno kidogo.
Wanasajili wachezaji wa Mia mia alafu utarajie matokeo uwanjani?
Kulikua kuna Haja gani ya kumsajili Akpan. Okwa, quatara na late mzungu? Alafu unakosa Pesa za kumsajili Manzoki kwa Ml 400?
Unasajili kwa kutumia Akili kweli?
Simba hai hitaji kumsajili mchezaji wa kuja kukaa benchi. Ina hitaji mchezaji wa viwango na sio Magalasa.
Tumepiga kelele Wamrudishe Kocha wa viungo yule mtunisia. Wameziba masikio wameleta kocha wanaomjua wao yaani ni mizaatu.
Itafikia maali viongozi ndio mtakwenda uwanjani wenyewe. Maana simnafanya timu ni yenu.
Mkwakwani ondoa hofu'the branch'Labda uwe mgeni na ligi ya Bongo, Yanga lazima umfikirie kwa sababu ndie mpinzani wetu, yeye mwenyewe anatufikiria sisi, Yanga huijui wewe, akikuzidi pointi 5 ukimkamata nakupeleka peponi, atatuzid pointi 5, na kuna mechi tutadondosha pointi huku yeye akiendelea kuua, wewe hujaenda kucheza na Geita kwao, hujaenda Kagera, hujaenda Ihefu, hujaenda Manungu, hujaend Mkwakwani, hujaenda Dodoma, huko kote ukiwa na Nyoni, Bocco, Akpan, Mwanuke, Kibu utarudi na pointi 4 tu, Mark my words.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ni wakati sasa Simba iwe kampuni na share ziuzwe public, FAIR COMPETITION COMMISION imekwamisha mchakato wa Simba kuwa kampuni na Mo Dewji kishasema hili jambo, mambo ya merger na aquisition wauza kahawa na machinga wa kariakoo hawawezi elewa, waliokwamisha ni watu wenye kufaidiki na timu ikiwa hivi mfano wale watengeneza jezi feki ambao ni viongozi wa klabu na wanaziuza nje ya uwanja wa taifa.Leo picha zinasambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha bodi ya wakurugenzi Simba imekutana kufanya kikao chake kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo, kikao hicho kimeonyesha kuwa baadhj ya wajumbe hawakuwez kushiriki pengine ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao au wamegomea.Mfano mmoja wa wajumbe Kassim Dewji simuoni katika picha hizo, siku za hivi karibuni Kasssim ambaye historia yake pale Simba ni ndefu sana na kwa wale wasiomjua vzr wanamuona muona tu, alikuwa na sintofahamu na Ceo kabla ya kupatanishwa.
Nataka niwaambie viongozi wa bodi, wanachama na mashabiki wana mengi sana ya kuwaambia, yaani madukuduku kwa uongozi wenu tunayo mengi sana, Simba haijawahi kuwa dhalili kama sasa hivi, tuna mechi ugenini tukimaliza na Ruvu kesho, cjui kama tutaondoka na pointi huko mikoani kutokana na nionavyo katika timu yetu na wapinzani wetu wa jangwani walivyojipanga.
Timu yetu tangu imfurumushe albino imekuwa haieleweki, wachezaji wanaosajiliwa wametuangusha, mashabiki tunatoka uwanjani tukiwa na maumivu halafu watu wanachukulia poa tu.
Kabla ya usajili niliwahi kushauri baadhi ya wachezaji wa kusajiliwa, nikapuuzwa, yanga ikawasajili na Leo wanaonekana mali huku tukiwatolea macho, Yanga kuwa unbeaten kumesababishwa na sisi wenyewe, bila kuweka mikakati Yanga haifungwi na timu yoyote hapa bongo, wa kuifunga yanga ni Simba tu hakuna mwingine.
Yanga alikuwa mteja sana wa Simba, Simba ilikuwa na uwezo wa kucheza na wachezaji 8 uwanjani na ikaifunga yanga, Leo imekuwaje Simba awe ndio mteja wa Yanga?
Watu wanalalamika kuwa miongoni mwenu hamna uchungu na timu, kwa mfano ukiangalia kikao cha Leo cha bodi, mwenyekiti anaongea mjumbe mmoja anachat na simu, hivi kuna seriousness kweli kwenye kikao?
Tunaomba mtueleze uchaguzi unafanyika lini? Nyie mkiendelea Yanga itaendelea kuwa unbeaten. Simba ndio timu pekee yenye uwezo wa kuamua Yanga aendelee kuwa unbeaten au wafike mwisho.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app