Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,456
- 1,410
Elimu yake kama ameenda sana ni std 7, achana na huyu kilaza mkuu.Mkuu mtoa hoja, kwa mambo usiyoyajua, ni heri ukakaa kimya. Mambo ya kisheria na sheria kwa ujumla hayahitaji uropokaji na ushabiki kama ufanyavyo wewe. Jitenge mbali na mambo haya ambayo hujui chochote kuhusu mambo mengine. Mambo ya kupigia porojo zako yako mengi. Kindly be advised!
usiongee mambo usiyoyajua hata hivyo nchii hii ni ya wote wliosoma na wasiosomaElimu yake kama ameenda sana ni std 7, achana na huyu kilaza mkuu.
Jiwe la gizaniusiongee mambo usiyoyajua hata hivyo nchii hii ni ya wote wliosoma na wasiosoma
sio jiwe gizani weka vyeti vyako na me nitoe vyangu then ndo uongeeJiwe la gizani
We dogo siasa zimekuharibu!! Mambo ya sheria waachie wana sheria..haya kuhusu!!sio jiwe gizani weka vyeti vyako na me nitoe vyangu then ndo uongee
wanasheria wanatumika vibaya wamegeuka kuwa wanasiasaWe dogo siasa zimekuharibu!! Mambo ya sheria waachie wana sheria..haya kuhusu!!
Safi sana Mkuu waeleweshe hao waropokajiMkuu mtoa hoja, kwa mambo usiyoyajua, ni heri ukakaa kimya. Mambo ya kisheria na sheria kwa ujumla hayahitaji uropokaji na ushabiki kama ufanyavyo wewe. Jitenge mbali na mambo haya ambayo hujui chochote.Mambo ya kupigia porojo zako yako mengi. Kindly be advised!