Body For Life Challenge: Jiunge na Mimi

Mvua ina tabia mbaya sana[emoji23] hiki kiwanja hua kinajaa watu wanafanya mazoezi.
Leo nawaona watu watatu tu.

Anyway mi leo nitafanya benchi kwa dumbbells.

Hizo ni kilo 30, gym yangu ni local sana ina dumbbells hizo na zile za siku ile so hizo hizo nitazifanyia flat, incline na slope bench press.
Reps 12 raundi 6.

Nitamaliza na biceps.
 
Leo ni siku ya mwisho kwa hii kitu.

Leo namalizia na mabega.

Warm up yangu itakua ni wide push ups (hizi zinasaidia mabega).

Nitafanya na biceps.
 
Tafadhali usiniquote na kuniuliza juu ya hii mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…