Body Language Akinadada Tafadhali Tujuzeni

Hivi ukiwa unatembea njiani ama unafanya kazi ofisi fulani ambayo inakioo transparent.

Then Kila mwanadada mzuri akipita na akakuona kwamba unamuona anaanza kutingisha makalio yake maana yake nini?

Wakati mwininge, unamkuta mdada anataka kununua viatu, watu wapo wengi lakini anakufuata na kuanza kukuuliza nimependeza
(anaacha wooote anakuja kwako tu) na humfahamu. Je wanamaanisha nini?
 

Mmmhh mmmh mm.
 

ngoja nkachek author n majina ya vitabu ntakwambia
....kijibrash kidoooooooooooooogo cha saikoloj KNASAIDIDA SANA ...mtu akisimama pale unajua kabsa uyu ni wa class gani ....mamaliaa au reptilia...ni somo zur sana yan ata km mtu akija tu mbele yako na kuanza kukutukana bla sababu ya msing bas unaweza tu ukamwambia asante na pole ndgu....yaan vnakupa na busara kdg hautaweza tena kugombana na watu cz utajua kwa nini anaakt ivi...na nini kimesababisha awe ivo...ATA KM UMESOMA INGINIARING KUJISOMEA MASOMO YA SOSHOLOJ HASA SAIKOLOJ NI NZUR ZAID ITAKUSAIDIA ATA UISH VYEMA NA MKEO/MUMEO MKOROF.
 




teh teh teh kwisha gundua janja ya nyani
 
hahaaaaaaaaaaa PJ izi habari lazima ni za bar :nono:
 
Rose hujambo wewe

shost sikukuuu wap mama?
finest kakununulia nguo mpya?
mie RR ashaninunulia bazee langu na mokas kesho mpango kamili...
GENERATION Y AMENINUNULIA ZA RANG YA GOLD....
 

Mie ni mwanasayansi ya jamii kama wewe ila fioeld tofauti, hebu nijibu basi nilichokuuliza kuhusu hayo yaliyonicuta naomba adivaisi, hiyo uliyotoa ni kanseling'i
 

ahh pole sana ..naomba ujue kwamba kuna ANT VIRUS YA ANT VIRUS..
---ACTING ZNAJULIKANA WEWE ..WEWE unalia na yule analia wa kulia kweli anajulikana mwongo anajulikana...
uyu kashikwa na bunduki na ana damu kwenye shat na uyu yupo ndan amelala shat lake jeupeeeeeeee ....stil wa ndani ndo muuaji na uyo mwenye damu +bunduki mkonon si muuaji...issue ni pana more than u thk..
--jishughulishe upate elimu ya utambuz japo abcd.. itasaidia...
magumash ni rahisi sana kujulikana labda km wewe pia ulikuwa unampenda uyo player ndo utasema poaaaaaaaaaaa au labda pia hauji kumsoma mtu apo sawa..
 


hehehehe shemeji navunja mbavu mie tetetete
 
Mie ni mwanasayansi ya jamii kama wewe ila fioeld tofauti, hebu nijibu basi nilichokuuliza kuhusu hayo yaliyonicuta naomba adivaisi, hiyo uliyotoa ni kanseling'i

advaic eennh????
mwambie nw days m nt like da way i was b4....try me n u wl c t
au km vip nipotezee stak uchokoz wa aina hii
..isuue yenyewe mbona ni historia jaman?miaka 19 inakuumiza leo?
mweke sawa ajue ur new nwdays....teh teh tehhhhhh!!!!!
 

Achana na mambo ya kusikia.
 

Galz will alwayz be galz.....
 
Mh GFM bwana.......... haya ngoja tujaribu.

Kiutamaduni lugha za mwili hasa kwa watoto wa kike hutakiwa kufanyiwa farghani na mwandani tu........ ni zile zinazoashiria aina flan ya uhitaji (Nakumbuka kama ile thread ilikuwa inauliza kuwa kama kina dada twataka "hifadhi" mbona huwa hatusemi wazi kama mfanyavyo kina kaka. Sasa linapokuja swala la uhitaji wa 'hifadhi' mtoto wa kike wa enzi hizoo hakutakiwa kusema wazi kuwa bwana wewe mie leo nataka......... la hasha bali mdada ataonyesha tangu asubuhi lol macho yataongea.........kuashiria upendo na uchokozi flani, atakuvalia vijiguo vya uchokozi flani, kama ni jioni ndo usharudi nyumbani basi usijeshangaa kuvaliwa khanga ya india ilolowana au chochote cha kuamsha shughuli............ zamani nakumbuka wengine walikuwa wanaweka zile bulb nyekundu chumbani ........mzee akiingia hapewi hata nafasi ya kuangalia nyuzi atashangaa tu mama mapemaaaa chumbani na mziki laini, tabasamu pana ilimradi ilikuwa ni ishara flani.........

Lakini pia kama siku hiyo hakuna "lishe" usishangae kuona mpishi akivua apron ya jikoni na kukuvalia jeans............ mwingine ankupigia kufuli zile za bibi zile ......... au mwingine ikifika muda wa kulalal yeye ndo kwanza anatoa masufuria akasugue nje at...................
 
hahahahaa hommie umenikumbusha mbaali.........Ila Rose kasema ye mtaalamu wa kugundua body language feki....
 
Sasa GFM..........una mpango wa kunifanya niongeze lenz ya miwani yangu eh? Font gani hii ya kuniwekea mtoto wa mwanaume mwenzio??
 
hahahahaa hommie umenikumbusha mbaali.........Ila Rose kasema ye mtaalamu wa kugundua body language feki....

prove t
leo ukija panapo makutano bas naomba unichachatue kdg il tutambue pamoja.......
 
advaic eennh????
mwambie nw days m nt like da way i was b4....try me n u wl c t
au km vip nipotezee stak uchokoz wa aina hii
..isuue yenyewe mbona ni historia jaman?miaka 19 inakuumiza leo?
mweke sawa ajue ur new nwdays....teh teh tehhhhhh!!!!!


Basi mama maana na wewe huchelewi kulipuka kama mafuta nimekuelewa nitafanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…