hahahaha leo utakua umejiandaa bana....hii haitaki maandalizi!!
Tena Ambush in the night......wapenda ambush eennh???
autak kijicho changu eennh?????
niletee miwan bas jaman...macho yangu yamestak kwa kukonyeza konyeza...gve me medicine i wl stp dat!!!
Ntakuletea miwan ya MBAO, hicho kijicho ni cha UKWARE, na DAWA ipoooo!!!!!!!!
Tena Ambush in the night......
Hapa mnajadili BODE LANGWEJI>>>>>>>>>:tape::tape::tape:
Mkuu, siku hizi nadhani maongezi yataisha kabisa!
1.Uvaaji wa maneno fulani inaitwa VIKUKU, nasikia inatoa ujumbe kwa walaji!
2.Sketi fulani za mipasuo ya aina yake inatoa ujumbe muafaka, pia uvaaji chachandu!
3.Nasikia wasichana wengine wanabeba kwenye mkoba funguo za gari na anahakikisha anakuonyesha, ili ujue kuwa hongo isipungue full-tank ya mandolin yake!
4.Wanaotembelea baa wanajua msichana au mwanamke akichagua siti ya peke yake kwenye bar anatoa ujumbe gani!
Body language nayo inakua, just like lugha ya maneno inavyokua!
Nawasilisha!
mweeeeeeeeeeee!!!!
km nit bas ntakuwa na rr pemben so no pbm..
ndiyo babu
lakin we haikuhusu cz baadhi ya viungo vyako vna maumivu so havitaweza kudisplay ujumbe vyema.....
pole babu:yield::yield::yield:
hahaha RR akiwepo basi body language itakua haihuu.......
Sante...haya nletee mkongojo na ugoro wangu hapo.
hapo kwenye RED akuu.....mi siohaihuuuuuuuuuu?
kwan we nae dig dig?
acha uoga
naleta babu.....tena wima....
hapo kwenye RED akuu.....mi sio
Mi nshasimama. wahi utembee na babu.
hahahahaa hommie umenikumbusha mbaali.........Ila Rose kasema ye mtaalamu wa kugundua body language feki....
from today yr name z january..izt clear???:tape::tape::tape::tape::tape::tape: Mi thithemi kitu mpaka nijionee....ila ako kaAnti Virus asikisambaze sana kitatumaliza kabisa wengine!!