Body surgery ya kwanza ilifanywa na Mungu mwenyewe

Body surgery ya kwanza ilifanywa na Mungu mwenyewe

vitangaye

Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
45
Reaction score
26
Operation ya kwanza kwenye mwili wa binadamu ilifanywa na mungu mwenyewe.Kwa kutumia nadharia ya kidini ( devine theory). Ukisoma maandiko matakatifu (bible) Genesis 2:21."Bwana mungu akamletea Adamu usingizi mzito ,naye akalala ,kisha akatwaa ubavu wake mmoja akafunika nyama mahali pake" .

Ukirelate na elimu ya kidaktari ya sasa tunaweza sema kuwa adamu alipigwa nusu kaputi moja akalala usingizi mzito.Ndipo mungu akaendelea na shughuli yake.Akaondoa nyama ubavu wa kushoto wa Adamu. Alipo toa ndio aliyoitumia kumfanya mwanamke (bado Adamu akiwa amelala). Adamu alipo amka akashangaa kuna mwanamke" yeye ndiye aliyesema ataitwa mwanamke.Lazima kuna ukweli juu ya hili ndio maana ubavu wa wa mwanadamu hauna nyama ya Ya kutosha kama ilivyo sehemu nyingine za mwili.

Hapo ndipo ninajifunza kuwa God is a source of all knowledge. Nothing is being discovered. Every thing is copy and pesting from the works of God.

Note: Hii ni nadharia .Hakuna sehemu kwenye biblia ilipoandika usingizi aliopewa Adam na mungu ulisababishwa na kitu chochote.Please challenge me and not to insult.
 
Hii mimi naona si kweli maana in both male and female the number of ribs is the same..ingekua ubavu wa mwanaume ulititilewa basi mwanaume angekua na mbavu pungufu...halafu kuhusu point yako ya nyama za kutosha kwenye ubavu ni kwamba kati ya mbavu na mbavu kuna muscle yenye layer tatu ambazo zinafanya kazi effectively kusaidia contraction ya thoracic cage sasa point yako ya nyama za kutosha haipo maana muscle zilizopo zinajitosheleza kufanya kazi zinazotakiwa kufanyika...
 
misconcetion ya kuhusu kutolewa ubavuni haiko physical kama wengi tunavyodhani.vitabu vya dini ni metaphors inahitaji akili sana kuvielewa hata maandiko yake pia yanatutaka tufungue akili tutumie akili otherwise utaambulia patupu!sio lugha rahisi mstari ukiusoma unaweza kujikuta umeelewa tofauti kama ilivyo mwanamke kutolewa ubavuni mwa mwanaume.
 
Back
Top Bottom