Sisera
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 224
- 98
huna hata hazi kua humu jf nenda kalime
Sidhani kama ni sahihi sana kwa jibu uliloliweka hapa, ujue haya majibu sisi wote wenye watoto na ndugu tunafuatilia na kwa namna fulani tunapata msaada wa kipi cha kufanya. Kulima sio tatizo, tatizo ni wewe unayefikiri kulima ni tatizo. Wakulima ndio nguzo ya taifa hili. Usidhani wewe unayekaa Dar na kulazimika kuamka saa 11 asubuhi kuwahi daladala na kutumia masaa mengi kurudi nyumbani na kupata mshahara wa laki 5 ndio mtu wa maana zaidi ya mkulima. Hayo ni mawazo magando. kama una msaada unatoa, Usiwe na mentallity ya ku crash every thing as if jamii forum ndio inataka hivo. You are wrong, take it or leave it. Unahitaji kusaidiwa kuwa productive badala ya kuwa critique for nothing. leta majibu tukujue na tukutafute.