Boko Basihaya Bus Terminal

Boko Basihaya Bus Terminal

Pohjois Haaga

Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
47
Reaction score
16
Viongozi, hivyo tuliwa sikia kituo cha mabasi yaendayo Kaskazini ya nchi yetu hususani mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na nchi jirani ya Kenya kitahamia eneo la Boko Basi Haya. Mradi huu umeishia wapi..? Au ndio ilikuwa kuchanganyikiwa kwa serikali yetu...?
 
Back
Top Bottom