Bollywood LEGEND KADER KHAN passes away at 81

Bollywood LEGEND KADER KHAN passes away at 81

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Kader Khan passes away at 81 - Bollywood Hungama

Kader-Khan-passes-away-at-81.jpg
10sld9.jpg
 
Kashiriki filamu IPI maarufu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huyu Legendary kabisa amefanya kazi nyingi 70's, 80's 90's. Pia ni writer ameandika script nyingi za story za michezo pamoja na dialogues.
Amecheza picha nyingi na Amitabh Bachchan zikiwemo Naseeb,Khoon Pasina, Muqaddar Ka Sikandar, Mr. Natwarlal, Hum, Do Aur Do Paanch, Kaalia, Sooryavansham
Pia amecheza picha nyingi na Govinda zikiwemo Hero No 1, Coolie No 1, Aankhen, Raja Babu ,
Baadhi ya filamu zake nyengine mashuhuri zikiwemo Baap Numbri Beta Dus Numbri, Kishen Kanhaiya, Main Khiladi Tu Anari, Ek Tha Raja ,Mr. and Mrs. Khiladi , Mujhse Shaadi Karogi , Khoon Bhari Maang

Baadhi ya film alizoziandika script zake. Amar Akbar Anthony , Khoon Pasina , Muqaddar Ka Sikandar , Suhaag , Mr. Natwarlal , Yaarana, Desh Premee, Lawaaris, Coolie, Sharaabi, Hatya , Khoon Bhari Maang , Bhai, Aunty No. 1
 
Comedian mzuri mno, Amitabh Bachchan alipotaka kujiingiza kwenye siasa. Huyu bwana ndiye aliyemshauri asiguse siasa, ila akawa mbishi akajiingiza yakamfika makubwa.

Mara nyingi kwenye filamu hucheza kama mchekeshaji, adui au baba. Akiwa ameandika kazi kadhaa ikiwemo Desh Premee ambayo nato ameigiza na Amitabh
 
Khan is always there.

-He's best in acting

-He's humble.

-He's most appriciated actor.

- He never went to jail.

-He never kiss any actress except once and he regreted.

-He's once invited by then a secretary general of USA.

- mostly of his films are blockbusting

sorry guys all charastiscs i mentioned above are of 3 khans.

Rest in peace the oldest khan i never knew about you,always knew 3 khans only.
 
Ckitko. mzee wa vtuko Kuna moja hyo Yuko na demu wake ,,Kila wakitaka kufanya yao mtu anapiga hodi. wao wanaita swang'rat
But mzee pia Ni mwoto mkali alipocheza Kama jambazi..RIP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuma kimeng'oka walifanya mchezo mbaya penye naseeb lakini cha moto walikiona yeye na plan pamoja na amjad khan walikuwa wanavaa uhusika kweli bila kumsahau Asiran mzee wa kuchekesha
 
Apumzike kwa amani.

Kwenye movie ya mujhse shaadi karogi alikua ananichesha sana mara aamke kiziwi mara kipofu. Wazee wa bollywood wanazid kupungua tu masikini

Yani alikamua kabisa kwenye huo mchezo, Ilikua ni moja ya filamu zake za mwishomwisho, kuna scene anashtuku usingizini akiona dongo linamdondokea hafla akauliza vipi kuna tetemeko la ardhi
1546802584036.png
1546802584036.png
1546802584036.png
1546802584036.png
Duggal Sap
 
Comedian mzuri mno, Amitabh Bachchan alipotaka kujiingiza kwenye siasa. Huyu bwana ndiye aliyemshauri asiguse siasa, ila akawa mbishi akajiingiza yakamfika makubwa.

Mara nyingi kwenye filamu hucheza kama mchekeshaji, adui au baba. Akiwa ameandika kazi kadhaa ikiwemo Desh Premee ambayo nato ameigiza na Amitabh

Niliwahi ona kisa chake kimoja na Amitabh Bachchan, Amitabh Bachchan jamaa alikua ni very arrogance sana. Alimfanyia jamaa mambo simzuri kabisa.
 
Back
Top Bottom