Anti-monitor
JF-Expert Member
- May 14, 2022
- 451
- 642
Billu ni movie moja safi sanatafuta muvi ya SRK inaitwa BILLU uone storyline jinsi mtu alikaa akatumia akili
Tamil ndio habari ya mjini saivi, Bollywood wanaanza kuachwa mbali na hawa jamaa wa Tamil. Ushahidi hayo ni jinsi gani movie 3 za Tamil zilivokuwa succesful. Movie hizo ni
1. Pushpa the Rise
2. KGF chapter 2
3. RRR
Mimi ni mdau mkubwa wa SRK.
Siyo kweli ni rumors tu. SRK na Kajol wametengeneza movies nyingi pamoja baada ya Kuch kuch hota hai, ya karibuni ilikuwa Dilwale (2015). Wahindi wanawapenda sana pair hii.
Movie yao ya kwanza kuwapa umaarufu ilikuwa Baazigar (1993) lakini ambayo imevunja rekodi ni DDLJ (DIlwale Dulhanai le Jayenge?) ya mwaka 1995. Movie hii mpaka hii leo baada ya miaka 27 kila siku inaonyeshwa kwenye theater moja inaitwa Maratha Mandir theater.
Nawafuatilia kiasi wahindi lakin nina hiyar sana niangalie movie za kusini ndo naona nazielewaga kuliko wale wa upande mwingine kwa sababu upande wa action movie story nyingi huwa naon wanaiba tu
Hao exchange ni kazi yao. Leo filam ya Telugu kesho utaona imekuwa acted kwa hindu na kadhalika. Unadhani kila siku wanapata wapi hizo stori za kupeleka theater? Hata za kizungu huwa wanazifanyia adaptation kwenda kihindu.Nawafuatilia kiasi wahindi lakin nina hiyar sana niangalie movie za kusini ndo naona nazielewaga kuliko wale wa upande mwingine kwa sababu upande wa action movie story nyingi huwa naon wanaiba tu
Lakini huwa wanaiba idea sana.Hao exchange ni kazi yao. Leo filam ya Telugu kesho utaona imekuwa acted kwa hindu na kadhalika. Unadhani kila siku wanapata wapi hizo stori za kupeleka theater? Hata za kizungu huwa wanazifanyia adaptation kwenda kihindu.
Ni kweli kabisa. Hata hii ya SRK ya mwisho Jab Harry met Sejal wameiba idea kutoka When Harry met Sally.Lakini huwa wanaiba idea sana.
Nakumbuka ilianza Van Dame msalabani ikaja Sunjay dat msabani halafu ktk Koshman koyla waliiga idea ya teminator
Bwana tamil ukutane na Allu arjun akina Ntr ,Vijay.Suriya na wengine lazima ukae utulie maana wana movie zenye mafunzo na huchoki kuziangalia...Tamil ndio habari ya mjini saivi, Bollywood wanaanza kuachwa mbali na hawa jamaa wa Tamil. Ushahidi hayo ni jinsi gani movie 3 za Tamil zilivokuwa succesful. Movie hizo ni
1. Pushpa the Rise
2. KGF chapter 2
3. RRR
Huko kwa sasa ndo wanamaliza bando langu maana jamaa wana movie kali hatarisouth indian muvi zao kali sana.
actors wake wametulia kulia hawa wahindi weupe.
kuna ile muvi naipenda sana jamaa wawili walipigwa tukio moja kwenye bus.
mmoja akafa ambae mama yake alikuwa daktari.ikabidi amtoe sura mwanae amvalishe yule mwingine ambae alikuwa bado mahututi.
jamaa baada kuamka anajikuta na sura ingine.akalipiza kisasi chake then akalipiza na kisasi cha yule alieuliwa!ambae alipewa sura yake.
wale jamaa wote katika hiyo muvi ni moto wa kuoetea mbali.
wahindi weusi list yao hiyo hapo.
mithun chakraboty.
rajnkant (inspector hussen)
na wengine wengi sana.
directors wakali weusi ni yule anaecheza sana muziki nadhani INDIA nzima hakuna anaemfikia.
muvi kali kama ROWDY RATHORE ametengeneza yeye!
na zingine zingine kali sana.
kwa wahindi ukija kwenye storyline zao kwenye muvi wazungu hawafikii hata robo.amini usiamini.
tafuta muvi ya SRK inaitwa BILLU uone storyline jinsi mtu alikaa akatumia akili
Hakuna kitu mkuu south kwa sasa ndo habari ya mjini akina zama za kina khan huko zimeisha sasa hizi kuna miamba huko inatisha ww kaangalie pushpa utaipendaBollywood wataendelea kuwa No 1. Hizo movie ni za mchoo tu. Hawawezi kuw na consistence ya kupambana na Bollywood.
Lakini huwa wanaiba idea sana.
Nakumbuka ilianza Van Dame msalabani ikaja Sunjay dat msabani halafu ktk Koshman koyla waliiga idea ya teminator
Hakuna kitu mkuu south kwa sasa ndo habari ya mjini akina zama za kina khan huko zimeisha sasa hizi kuna miamba huko inatisha ww kaangalie pushpa utaipenda
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
wahindi wanapenda sana kufanya remake kutoka Hollywood mfano ile movie ya Bang Bang! Ni remake ya Knight and DayNi kweli kabisa. Hata hii ya SRK ya mwisho Jab Harry met Sejal wameiba idea kutoka When Harry met Sally.
hio movie ya drishyam inaonesha jinsi gan kiongozi wa familia (baba) anavyo weza kwenda extra mile ili kulinda heshima na kutetea familia yak, pia usifanye Siri na watu wenye mioyo myepesi kama mtoto wake mdogo alipoona kipigo kimezidi Kwa mama ake ikabidi atoe Siri walipozika maiti sema jamaa alijiongeza kuihamisha.Kwangu hizi movie nimezirudia mara nyingi sana,napenda movie zenye story nzuri na zenye kubeba hisia..,kwa aliyezitazama naomba list ya movie nyingine zenye hisia iwe Bollywood,malayam au teluguView attachment 2281749View attachment 2281750View attachment 2281751View attachment 2281752
Story ilitulia japo hii ni version ya malayam movie,ila Ile original kwangu sio kali sana kama hiihio movie ya drishyam inaonesha jinsi gan kiongozi wa familia (baba) anavyo weza kwenda extra mile ili kulinda heshima na kutetea familia yak, pia usifanye Siri na watu wenye mioyo myepesi kama mtoto wake mdogo alipoona kipigo kimezidi Kwa mama ake ikabidi atoe Siri walipozika maiti sema jamaa alijiongeza kuihamisha.
Kwangu hizi movie nimezirudia mara nyingi sana,napenda movie zenye story nzuri na zenye kubeba hisia..,kwa aliyezitazama naomba list ya movie nyingine zenye hisia iwe Bollywood,malayam au teluguView attachment 2281749View attachment 2281750View attachment 2281751View attachment 2281752
hio movie ya drishyam inaonesha jinsi gan kiongozi wa familia (baba) anavyo weza kwenda extra mile ili kulinda heshima na kutetea familia yak, pia usifanye Siri na watu wenye mioyo myepesi kama mtoto wake mdogo alipoona kipigo kimezidi Kwa mama ake ikabidi atoe Siri walipozika maiti sema jamaa alijiongeza kuihamisha.
Story ilitulia japo hii ni version ya malayam movie,ila Ile original kwangu sio kali sana kama hii