R-CHUGA
Member
- Mar 23, 2012
- 77
- 8
Mabomu ya machozi yanaendelea kurindima ndani ya chuo cha uhasibu yapata saa moja sasa baada ya mkuu wa mkoa wa Arusha kususa kuzungumza na wanafunzi ambao mwenzao ameuawa kwa kuchomwa kisu.Mkuu huyo amekataa kuongea na wanafunzi kwa kusema kwamba hawana nidhamu ndipo wanafunzi walipoamua kurusha chupa kwenye gari lake.