makinika18
Member
- Nov 16, 2018
- 77
- 108
HahaaaHili Ni boma sio Nyumba
Pole kwa mafua mkuu... maana sio kwa mwandiko huu!!Huo.mpaka wa hiyo nyumba kama mpaka ni huo mchai mchai umepanda naona hiyo nyumba kuna mgogoro na jirani ukitaka kujenga ukuta
Ugkmvi lazima ulipuke na huyo jirani.mwenye nyumba yenye bati la bluu
Zoom hiyo picha utaona nyumba ya jirani yake ina bati la bluu .Angalia hapo huwezi jenga fence hapo bila mgogoro kulipuka na jirani mpaka ni huo mchai mchai amepanda mashina yake naona hiyo nyumba kuna mgogoro na jirani ukitaka kujenga ukutaPole kwa mafua mkuu... maana sio kwa mwandiko huu!!
1.5km toka Morogoro Road, kwa miguu ni dakika 15 ila kwa pikipiki ni elfu moja na dakika 5 tu umefikaUmbali from mainroad upoje
Nina shida na pesaSababu ya kuuzwa?
Kuanzia Lini wizara ya Ardhi imeanza kutoa hati za viwanja kwa kuzingatia mipaka ya mchai chai mkuu? Kiwanja kina hati na mipaka yake hata haiihitaj kelele na mtu kwa sababu ina vipimo vya wizara ya ArdhiHuo.mpaka wa hiyo nyumba kama mpaka ni huo mchai mchai umepanda naona hiyo nyumba kuna mgogoro na jirani ukitaka kujenga ukuta
Ugkmvi lazima ulipuke na huyo jirani.mwenye nyumba yenye bati la bluu
Bado ipo kiongozi, karibu tufanye biashara 0654909390Mkuu bado ipo?