House4Sale Boma LA Nyumba linauzwa Mwanza

House4Sale Boma LA Nyumba linauzwa Mwanza

37 muzzy

Member
Joined
May 28, 2016
Posts
32
Reaction score
8
Mahali lipo: Kishili Bukaga
Kiwanja : Kimepimwa upimaji Shilikishi

Ukubwa Wa eneo Ni 40 * 35 m
Boma: Lina vyumba vitatu, viwili Master, sebure, Jiko, dining, store, public toilet
Materials: kokoto trip moja, trip 3 za mchanga, shimo la choo limichimbwa bado kujengwa tu.

Tofali 600 kwa ajili ya kozi za juu
Eneo lililobaki waweza jenga Nyumba nyigine kma hii na kubaki
Bei ni chee ni 16m. Fixed

NB: Sababu ya kuuza ni kwamba ninataka kurudi shule nikasome upya.. Haina dalalili unakutana na mm mwenyewe.

Zangatia kuwa bei ni fixed.


Contact 0624088286/0767973701
IMG_20190529_180010.jpeg
IMG_20190609_093346.jpeg
IMG_20190609_085713.jpeg
IMG_20190604_171906.jpeg
IMG_20190529_180256.jpeg
20170402_101515.jpeg
 
Mahali lipo: Kishili Bukaga
Kiwanja : Kimepimwa upimaji Shilikishi

Ukubwa Wa eneo Ni 40 * 35 m
Boma: Lina vyumba vitatu, viwili Master, sebure, Jiko, dining, store, public toilet
Materials: kokoto trip moja, trip 3 za mchanga, shimo la choo limichimbwa bado kujengwa tu.

Tofali 600 kwa ajili ya kozi za juu
Eneo lililobaki waweza jenga Nyumba nyigine kma hii na kubaki
Bei ni chee ni 16m. Fixed

NB: Sababu ya kuuza ni kwamba ninataka kurudi shule nikasome upya.. Haina dalalili unakutana na mm mwenyewe.

Zangatia kuwa bei ni fixed.


Contact 0624088286/0767973701View attachment 1123769View attachment 1123770View attachment 1123772View attachment 1123773View attachment 1123774View attachment 1123775
Mkuu hiyo ada ya 16m unaenda kusomea USA au kiingereza unaanza kututisha kama kusoma chuo mpaka mtu auze makazi....duh
 
Haya ni maeneo gani kuna umbali gani kutoka barabara ya lami?
 
Back
Top Bottom