Nakas property
Member
- May 8, 2021
- 34
- 18
Kibada
Kibada ni km ngapi kutoka feriKibada
Pale huwa zinapima kama 20km hivi kwa mujibu wa trip meter ya gari! Hio ni kibada mwisho paleKibada ni km ngapi kutoka feri
Tuliokulia Morogoro rd huko tunapaona pamekaa tofauti sana aiseePale huwa zinapima kama 20km hivi kwa mujibu wa trip meter ya gari! Hio ni kibada mwisho pale
Kigamboni sijawahi kupaelewa kabisa yani! Kwanza ile hali ya kuvuka maji ndio nifike home kwangu naichukia kweli sitamani hata kupanga.Tuliokulia Morogoro rd huko tunapaona pamekaa tofauti sana aisee
Bora hata njia ya Bagamoyo aiseeKigamboni sijawahi kupaelewa kabisa yani! Kwanza ile hali ya kuvuka maji ndio nifike home kwangu naichukia kweli sitamani hata kupanga.
Bagamoyo Road iko njema yani😅 kule patamu!Bora hata njia ya Bagamoyo aisee
Kimbunga JOBO kiliwahamisha makazi kwa muda [emoji28][emoji28][emoji28] huko tuwaachie wavuvi wa pemba na ntwara, masasiBagamoyo Road iko njema yani[emoji28] kule patamu!
Ila kuvuka maji kisha unatembea tena kipande kirefu dah noma nawaza siku pantoni lizingue mzame baharini[emoji28]
Sisi wakazi wa pande za huku huwa tunawashangaa nyie ambao hampaelewi kigambn. Serikali yenyewe inaiangalia kiga kwa jicho la husdaKigamboni sijawahi kupaelewa kabisa yani! Kwanza ile hali ya kuvuka maji ndio nifike home kwangu naichukia kweli sitamani hata kupanga.
Nyie kaeni kisiwani huko 😅 Kigamboni ni Zanzibar iliochangamkaSisi wakazi wa pande za huku huwa tunawashangaa nyie ambao hampaelewi kigambn. Serikali yenyewe inaiangalia kiga kwa jicho la husda
Hahahahah ni zenji iliochangamka ile. Sehemu salama ni darajani pa kulipa elfu 3 kila siku kwenda na kurudi!Kimbunga JOBO kiliwahamisha makazi kwa muda [emoji28][emoji28][emoji28] huko tuwaachie wavuvi wa pemba na ntwara, masasi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna nafuu tuwaachie wenyeweHahahahah ni zenji iliochangamka ile. Sehemu salama ni darajani pa kulipa elfu 3 kila siku kwenda na kurudi!
Nalipa 90K kwa ajili ya kulala na kuamkia kwangu tu hilo sio sawa! Tuwaachie matajiri kule [emoji28]