ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Miccm hiyo inapiga ramli chonganishiš¤£š¤£Mbona Tanzania walikwapua live na bomu halikulipuka
Mbona Tanzania walizima Internet, wakazima platform za twitter, Facebook...
Kenya sio shithole yenu we mtoto wa mama Samia shughulika na yenu.Uchaguzi ulienda vizuri kwa amani na kwa wakati nchi nzima,sasa sijui nini kilitokea kukatokea sintofahamu...ghafla wakasimamisha utangazaji na kuanza zoezi kuhakiki...
Bragging za kishamba kama hizi zaonyesha jinsi uko na low IqMbona Tanzania walikwapua live na bomu halikulipuka
Mbona Tanzania walizima Internet, wakazima platform za twitter, Facebook, WhatsApp na YouTube na bomu halikulipuka
Ya Kenya Waache wakenya
Kenya ilishapiga hatua miaka 100 mbele ya Tanzania
Wakenya wanafanya kazi za kuajiriwa karibu kila nchi za Afrika na walipitia interview, Vijana wa Tanzania interview tu ya TRA na BoT wanashindwa kufaulu, Je wataweza kwenda kuongoza Makampuni Nchini Kenya au Marekani?
Academy na International school Tanzania wanaofundisha na kuamini wa ni wakenya wengi, Nenda Kenya wewe mtanzania au Rwanda kama utapata kazi kama wao wanavyopata kwetu
Wewe Endelea kula wali na ugali unaopikiwa na familia yako, Mambo ya Kenya sio size yako, Unachojua wewe mtanzania ni umbea na udaku udaku tu
.
Ya Tanzania na familia yako hivyo u nafuatilia mambo ya Kenya nchi ambayo mfumo wa uchumi, demokrasia na elimu wametuzidi miaka 100 mbele
Insha ndeefu, imejaa utopolo tu. Mengi umeandika ni mambo ya early 2000's and 90's hukoMbona Tanzania walikwapua live na bomu halikulipuka
Mbona Tanzania walizima Internet, wakazima platform za twitter, Facebook, WhatsApp na YouTube na bomu halikulipuka
Ya Kenya Waache wakenya
Kenya ilishapiga hatua miaka 100 mbele ya Tanzania
Wakenya wanafanya kazi za kuajiriwa karibu kila nchi za Afrika na walipitia interview, Vijana wa Tanzania interview tu ya TRA na BoT wanashindwa kufaulu, Je wataweza kwenda kuongoza Makampuni Nchini Kenya au Marekani?
Academy na International school Tanzania wanaofundisha na kuamini wa ni wakenya wengi, Nenda Kenya wewe mtanzania au Rwanda kama utapata kazi kama wao wanavyopata kwetu
Wewe Endelea kula wali na ugali unaopikiwa na familia yako, Mambo ya Kenya sio size yako, Unachojua wewe mtanzania ni umbea na udaku udaku tu
.
Ya Tanzania na familia yako hivyo u nafuatilia mambo ya Kenya nchi ambayo mfumo wa uchumi, demokrasia na elimu wametuzidi miaka 100 mbele
Kenya labda wamepiga hatua katika kudumisha ukabila na kuongea lugha ya makabilaMbona Tanzania walikwapua live na bomu halikulipuka
Mbona Tanzania walizima Internet, wakazima platform za twitter, Facebook, WhatsApp na YouTube na bomu halikulipuka
Ya Kenya Waache wakenya
Kenya ilishapiga hatua miaka 100 mbele ya Tanzania
Wakenya wanafanya kazi za kuajiriwa karibu kila nchi za Afrika na walipitia interview, Vijana wa Tanzania interview tu ya TRA na BoT wanashindwa kufaulu, Je wataweza kwenda kuongoza Makampuni Nchini Kenya au Marekani?
Academy na International school Tanzania wanaofundisha na kuamini wa ni wakenya wengi, Nenda Kenya wewe mtanzania au Rwanda kama utapata kazi kama wao wanavyopata kwetu
Wewe Endelea kula wali na ugali unaopikiwa na familia yako, Mambo ya Kenya sio size yako, Unachojua wewe mtanzania ni umbea na udaku udaku tu
.
Ya Tanzania na familia yako hivyo u nafuatilia mambo ya Kenya nchi ambayo mfumo wa uchumi, demokrasia na elimu wametuzidi miaka 100 mbele
Upumbavu uko wapi wakati ndio hali halusi?Hakuna mijitu mipumbavu halafu mipunguani kama mleta mada
Na unachokiona upumbavu tazama magazeti ya kenya ya jana,juzi yanaongelea haya haya nao ni wapumbavu?Hakuna mijitu mipumbavu halafu mipunguani kama mleta mada
Kama Magufuli alivyotaka kuifanya Tanzania?Kenya labda wamepiga hatua katika kudumisha ukabila na kuongea lugha ya makabila