Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Uzembe unaofanywa na meneja wa DAWASA Kawe jijini Dar es-Salaam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania mnapenda sana kuendekeza Anasa kwa kutumia maji ya bomba.
Nasikia wamesharekebisha
Mtanikumbuka
Hii habari ya siku nyingi unaileta leo? Au ndio umeipata leo kwenye grupu la whatsapp ukawahi kuja kupost?
Cha kushanganza hupati hata muda mara moja kwa mwaka kuwapigia na kuwajulia hali wazazi wako waliokulea na kukusomesha kwa shida hadi umekua unajitegemea. Fikiria nao waliishi bila maji ya bomba.Hawa washenz,siku moja niko nakatisha mitaa ya majengo mbeya nikakuta bomba limepasuka,nikatafuta namba zao online nayapigia mara kibao hayakupokea shenz kweli na hata hayakuni-call back kuniuliza kwann nimeyapigia,wabantu changamoto sanaa
Kumbe hupogo jamvini?Nasikia wamesharekebisha
Unazungumzia nan mzee, nashindwa kukuelewaCha kushanganza hupati hata muda mara moja kwa mwaka kuwapigia na kuwajulia hali wazazi wako waliokulea na kukusomesha kwa shida hadi umekua unajitegemea. Fikiria nao waliishi bila maji ya bomba.
Nazungumzia wewe mkuu. Ebu chukua angalau dakika tano tu uwapigie na uwajulie hali wazazi wako.Unazungumzia nan mzee, nashindwa kukuelewa
Unanijua sana inaonekana sio,au ndo namna yako yakuchangia hii thread inayohusu dawascoNazungumzia wewe mkuu. Ebu chukua angalau dakika tano tu uwapigie na uwajulie hali wazazi wako.
Mkuu Mbona mbishi. Utapungukiwa nini ukiwapigia wazazi wako na kuwajulia hali japo dakika tano tu mara moja kwa mwaka?Unanijua sana inaonekana sio,au ndo namna yako yakuchangia hii thread inayohusu dawasco
Asante,but just to let you know I always on call with my parents,I always keep them posted on everything so you're dealing with the wrong one mAster, thanks for the reminder,I appreciateMkuu Mbona mbishi. Utapungukiwa nini ukiwapigia wazazi wako na kuwajulia hali japo dakika tano tu mara moja kwa mwaka?
Please [emoji120] just do that. Don't you see you are missing blessings?
Mkuu dah nia yangu ilikuwa unitukane nifurahi kukuwin kisaikolojia lakini dah unanijibu kwa staha yani nimefadhaika kichiz. Ngoja nitemane na wewe nitafute mnyonge mwengine.Asante,but just to let you know I always on call with my parents,I always keep them posted on everything so you're dealing with the wrong one mAster, thanks for the reminder,I appreciate
Hao mababu zenu walishakufa, wengi wao walikufa kwa minyoo ama kichocho…. unataka kuwaiga?Watanzania mnapenda sana kuendekeza Anasa kwa kutumia maji ya bomba. Kwani mkitumia maji kutoka vyanzo vingine kama mtoni mtapungukiwa na nini? Kila siku tu malalamiko hadi imekuwa kero. Mbona mababu zetu hawakutumia maji ya bomba enzi zao na maisha yao yalienda na walikuwa na furaha hata wakati wa kiangazi?
Tulia weweee mkaldayoHao mababu zenu walishakufa, wengi wao walikufa kwa minyoo ama kichocho…. unataka kuwaiga?